Vidonge vya typhod: vinaongeza nguvu za kiume

A.K.A.47

Member
Jan 27, 2013
56
6
Kila nikiendaa kwake,rafiki yangu hakosi vidonge vya typhod.

Ikitokea mpenz wake anakuja,jamaa humeza vidonge hivyo.

Nilimuuliza kwann kila wkt hunywa vidonge hivyo,ndo tuseme yy typhod haiponi?

"Vinaongeza nguvu mara dufu wkt wa tendo".Alinijibu rafiki yangu.

Ndg wana jf-doctors,kuna ukeli wowote juu ya madai haya au kuna chemical gani zinazohusiana na hamu zaidi wkt wa tendo?

Nawasilisha kwa michango yenu zaid.
 
Kila nikiendaa kwake,rafiki yangu hakosi vidonge vya typhod.

Ikitokea mpenz wake anakuja,jamaa humeza vidonge hivyo.

Nilimuuliza kwann kila wkt hunywa vidonge hivyo,ndo tuseme yy typhod haiponi?

"Vinaongeza nguvu mara dufu wkt wa tendo".Alinijibu rafiki yangu.

Ndg wanajf-doctors,kuna ukeli wowote juu ya madai haya au kuna chemical gani zinazohusiana na hamu zaidi wkt wa tendo?

Nawasilisha kwa michango yenu zaid.
.
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/
.
Hukusoma title ya jukwaa,
C6 unahusika hapa
.
 
Last edited by a moderator:
Anachofanya ni kuharibu afya yake ili siku atakapoumwa typhod hizo dawa zisiwe na uwezo wa kumtibu.


Kila nikiendaa kwake,rafiki yangu hakosi vidonge vya typhod.

Ikitokea mpenz wake anakuja,jamaa humeza vidonge hivyo.

Nilimuuliza kwann kila wkt hunywa vidonge hivyo,ndo tuseme yy typhod haiponi?

"Vinaongeza nguvu mara dufu wkt wa tendo".Alinijibu rafiki yangu.

Ndg wana jf-doctors,kuna ukeli wowote juu ya madai haya au kuna chemical gani zinazohusiana na hamu zaidi wkt wa tendo?

Nawasilisha kwa michango yenu zaid.
 
sio kweli haviongezi nguvu za kiume!isije kuwa anakulaghai wewe anatumia viagra au cialis lol
 
Back
Top Bottom