Retired Sister
Senior Member
- Jan 11, 2013
- 182
- 220
naombeni kuuliza unameza vingapi kwa siku
nimepewa hosptal sijaandikiwa kipimo
nimepewa hosptal sijaandikiwa kipimo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mjamzito? lkn kama ni mjamzito hio dosage ni kubwa sana nadhani dosage ulopewa ni kwaajili ya kutibu Folate deficiency anaemia huitwa vilevile megaloblastic anaemiaBarca mimi ni mwanamke mimi hata sijui kwanini nimepewa ni vya kazi gani?vinatibu nini?
naombeni kuuliza unameza vingapi kwa siku
nimepewa hosptal sijaandikiwa kipimo
Normal dosage ya mtu mzima ni 1mg a day5 mg once per day ( kidonge kimoja kwa siku)
are you pregnant?
Normal dosage ya mtu mzima ni 1mg a day
Na kama ni mjamzito ni 0,4mg a day
Ni mjamzito? lkn kama ni mjamzito hio dosage ni kubwa sana nadhani dosage ulopewa ni kwaajili ya kutibu Folate deficiency anaemia huitwa vilevile megaloblastic anaemia
Anaemia:ni mapungufu ya chembechembe nyekundu za damu ziitwazo haemoglobin mwilini.Kazi ya hizo chembechembe nyekundu(haemoglobin ) ni kubeba oxygen na kuisafirisha kwenye damu kutoka kwenye mapafu kueleka katika capillaries.Ukipatwa na hio megaloblastic anaemia ni kwamba hizo chembechembe nyekundu zinakuwa na umbo kubwa kuliko kawaida kwahio kushindwa kubeba okygen ya kutosha au ipasavyo.
Dalili za ugonjwa huu ni:
1.uchovu
2.kutojisikia vyema
3.ngozi kupayuka
4.kushindwa kupumua vizuri
5.muonekano wa kucha hubadilika na kuwa concave zinakuwa mviringo
6.Matatizo ya moyo
Fine my dear im speaking from my knowledge!hapo kwenye nyekundu ni uongo , hiyo dosage aliyotoa Barca ipo sahihi
Fine my dear im speaking from my knowledge!