Vidonda Vya Tumbo + Typhoid + kikohozi

Jun 12, 2019
6
0
Nahitaji Kujua Dawa Zitakazo nisaidia Kutibu haya Magonjwa niliyonayo Nimeenda Hospitali Kupima Nikakutwa wadudu wa H pylori,Typhoid Vile nina Kikohozi Baada ya Hapo Daktari Ameniandikia Esomeprazole,Metronidazole(Flagyl) Pamoja na Ciproflaxin hii ina maana Anatibu Haya Magonjwa Yote kwa wakati Moja .....Je Ni sahihi kwa Hizi Dawa nilizo andikiwa....????
 
Duuuh mi nlikuwa na madonda ya tumbo usiku silali lakini nimefunga mwezi wa ramadhan,Baada ya mwezi kuisha naona sina tena tatizo kabisa, na najihisi nimepona.Ndo nimeamini kuwa funga kweli ni Tiba pia
 
Metrinidazole itakunyoosha sana aliyegundua hiyo dawa haendi mbinguni
Nahitaji Kujua Dawa Zitakazo nisaidia Kutibu haya Magonjwa niliyonayo Nimeenda Hospitali Kupima Nikakutwa wadudu wa H pylori,Typhoid Vile nina Kikohozi Baada ya Hapo Daktari Ameniandikia Esomeprazole,Metrinidazole Pamoja na Ciproflaxin hii ina maana Anatibu Haya Magonjwa Yote kwa wakati Moja .....Je Ni sahihi kwa Hizi Dawa nilizo andikiwa....????
 
Dawa ni saw mkuu kabisa sema Fanya kutafuta dawa strong zaid ya kutibu kifua na hapo kweny vidonda kuwa makini na muda wako wa kula uwe ule ule na epuka pilipili na vyakula vya asidi

Ukitaka taarifa zaidi nicheki PM, humu wajuaji wengi.
 
Nahitaji Kujua Dawa Zitakazo nisaidia Kutibu haya Magonjwa niliyonayo Nimeenda Hospitali Kupima Nikakutwa wadudu wa H pylori,Typhoid Vile nina Kikohozi Baada ya Hapo Daktari Ameniandikia Esomeprazole,Metronidazole(Flagyl) Pamoja na Ciproflaxin hii ina maana Anatibu Haya Magonjwa Yote kwa wakati Moja .....Je Ni sahihi kwa Hizi Dawa nilizo andikiwa....????
Mmb powder dawa ya vidonda vya tumbo Asilia inazuia kutapika damu pamoja na kutibu vidonda vya tumbo dose yake ni elfu 30 unaitumia kikamilifu ndani ya mwezi mmoja kwa muhitaji Piga namba 0754 446724 Voda au 0683882959 mikoan tunatuma unachangiwa asilimia 50 ya nauli.
 
Metrinidazole itakunyoosha sana aliyegundua hiyo dawa haendi mbinguni
Mmb powder dawa ya vidonda vya tumbo Asilia inazuia kutapika damu pamoja na kutibu vidonda vya tumbo dose yake ni elfu 30 unaitumia kikamilifu ndani ya mwezi mmoja kwa muhitaji Piga namba 0754 446724 Voda au 0683882959 mikoan tunatuma unachangiwa asilimia 50 ya nauli.
 
Duuuh mi nlikuwa na madonda ya tumbo usiku silali lakini nimefunga mwezi wa ramadhan,Baada ya mwezi kuisha naona sina tena tatizo kabisa, na najihisi nimepona.Ndo nimeamini kuwa funga kweli ni Tiba pia
Kweli akili hunaaa
 
Duuuh mi nlikuwa na madonda ya tumbo usiku silali lakini nimefunga mwezi wa ramadhan,Baada ya mwezi kuisha naona sina tena tatizo kabisa, na najihisi nimepona.Ndo nimeamini kuwa funga kweli ni Tiba pia
Endeleeni kula tende tu mazee
 
Back
Top Bottom