Emasa
Member
- Nov 14, 2008
- 38
- 2
Ndugu wana JF nina jamaa yangu anahitaji msaada wa haraka.
Huyu jamaa ana girlfriend wake wa muda mrefu sasa na ameamua angependa waoane lakini tatizo ni kuwa jamaa ana vidonda kwenye sehemu ya haja kubwa anasema ilianza kuwashwa miaka kama mitatu ilopita na alimueleza huyo mpenzi wake.
Yule mpenzi wake akamshauri kuwa anajisafisha vizuri kitu ambacho jamaa anasema hufanya tena kwa kumaanisha, ameendelea kuwashwa na akawa anakosa raha maana kila wakati anatia vidole huko kujikuna, yule mpenzi wake akamshauri waende kucheki magonjwa ya zinaa ambapo jamaa alikubali na wakaenda kupima maana hali ilikua inazidi kuwa mbaya na hasa pale ambapo anakuwa ana discharge.
Walipima pamoja (magonjwa yote ikiwemo Ngoma) na kukuta kuwa wako salama.
Ameshakwenda kwa madaktari kadhaa wanaishia kumchungulia na kutomsaidia anasema manake anapewa dawa ambazo hazijampa relief mpaka sasa anawashwa na anasema kumekua na vidonda na pia anadischarge mara kadhaa na wakati mwingine hushindwa kuenjoy na mpenzi wake sababu anakua anajihisi ana haruf mbaya inayotokana na matatizo hayo ikiwemo kudischarge.
Anahitaji msaada wenu waheshimiwa Afanye nini? maana mwishowe anahisi atampoteza hata mpenzi wake kutokana na kutopendelea kuwa nae kimapenzi mara kwa mara na akihofia kumkera huyo mrembo wake kutokana na hali inayomkuta.
Huyu jamaa ana girlfriend wake wa muda mrefu sasa na ameamua angependa waoane lakini tatizo ni kuwa jamaa ana vidonda kwenye sehemu ya haja kubwa anasema ilianza kuwashwa miaka kama mitatu ilopita na alimueleza huyo mpenzi wake.
Yule mpenzi wake akamshauri kuwa anajisafisha vizuri kitu ambacho jamaa anasema hufanya tena kwa kumaanisha, ameendelea kuwashwa na akawa anakosa raha maana kila wakati anatia vidole huko kujikuna, yule mpenzi wake akamshauri waende kucheki magonjwa ya zinaa ambapo jamaa alikubali na wakaenda kupima maana hali ilikua inazidi kuwa mbaya na hasa pale ambapo anakuwa ana discharge.
Walipima pamoja (magonjwa yote ikiwemo Ngoma) na kukuta kuwa wako salama.
Ameshakwenda kwa madaktari kadhaa wanaishia kumchungulia na kutomsaidia anasema manake anapewa dawa ambazo hazijampa relief mpaka sasa anawashwa na anasema kumekua na vidonda na pia anadischarge mara kadhaa na wakati mwingine hushindwa kuenjoy na mpenzi wake sababu anakua anajihisi ana haruf mbaya inayotokana na matatizo hayo ikiwemo kudischarge.
Anahitaji msaada wenu waheshimiwa Afanye nini? maana mwishowe anahisi atampoteza hata mpenzi wake kutokana na kutopendelea kuwa nae kimapenzi mara kwa mara na akihofia kumkera huyo mrembo wake kutokana na hali inayomkuta.