Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Wanajamii naombeni msaada wenu...!
Eti ni nini chanzo au kitu kinachosababisha mtu kutokwa na vidonda pembeni ya mdomo! KUna baadhi ya watu huwa wanasema inatokana na labda homa/maleria ndio inakua inatoka mwilini wengine wanahusisha vidonda hivyo na mambo ya zinaa pamoja na mambo mengine chungu nzima!
Ninaombeni msaada wenu ili nipate kujua kwani kuna jamaa yangu vina mtokea mara kwa mara! So nikaona wacha nililete hapa hili suala ili nipate utaalamu wenu kuhuu chanzo cha hivo vidonda na tiba yake!
Eti ni nini chanzo au kitu kinachosababisha mtu kutokwa na vidonda pembeni ya mdomo! KUna baadhi ya watu huwa wanasema inatokana na labda homa/maleria ndio inakua inatoka mwilini wengine wanahusisha vidonda hivyo na mambo ya zinaa pamoja na mambo mengine chungu nzima!
Ninaombeni msaada wenu ili nipate kujua kwani kuna jamaa yangu vina mtokea mara kwa mara! So nikaona wacha nililete hapa hili suala ili nipate utaalamu wenu kuhuu chanzo cha hivo vidonda na tiba yake!