Vidonda vidogo mdomoni (Aphthous Mouth Ulcers)

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
Wanajamii naombeni msaada wenu...!

Eti ni nini chanzo au kitu kinachosababisha mtu kutokwa na vidonda pembeni ya mdomo! KUna baadhi ya watu huwa wanasema inatokana na labda homa/maleria ndio inakua inatoka mwilini wengine wanahusisha vidonda hivyo na mambo ya zinaa pamoja na mambo mengine chungu nzima!

Ninaombeni msaada wenu ili nipate kujua kwani kuna jamaa yangu vina mtokea mara kwa mara! So nikaona wacha nililete hapa hili suala ili nipate utaalamu wenu kuhuu chanzo cha hivo vidonda na tiba yake!
 
Wanajamii naombeni msaada wenu...!

Eti ni nini chanzo au kitu kinachosababisha mtu kutokwa na vidonda pembeni ya mdomo! KUna baadhi ya watu huwa wanasema inatokana na labda homa/maleria ndio inakua inatoka mwilini wengine wanahusisha vidonda hivyo na mambo ya zinaa pamoja na mambo mengine chungu nzima!

Ninaombeni msaada wenu ili nipate kujua kwani kuna jamaa yangu vina mtokea mara kwa mara! So nikaona wacha nililete hapa hili suala ili nipate utaalamu wenu kuhuu chanzo cha hivo vidonda na tiba yake!

hivyo vidonda vipo pia katika sehemu zingine kama ulimi,midomo,ndani ya cheeks,na fizi?
 
Wanajamii naombeni msaada wenu...!

Eti ni nini chanzo au kitu kinachosababisha mtu kutokwa na vidonda pembeni ya mdomo! KUna baadhi ya watu huwa wanasema inatokana na labda homa/maleria ndio inakua inatoka mwilini wengine wanahusisha vidonda hivyo na mambo ya zinaa pamoja na mambo mengine chungu nzima!

Ninaombeni msaada wenu ili nipate kujua kwani kuna jamaa yangu vina mtokea mara kwa mara! So nikaona wacha nililete hapa hili suala ili nipate utaalamu wenu kuhuu chanzo cha hivo vidonda na tiba yake!

Vidonda pembeni ya mdomo vyaweza kusababishwa na vitu vingi. Ili kujua nini chanzo specifically kwa huyo jamaa yako haina budi kukaa chini na mtaalam amweleze historia nzima (history taking), kisha mtaalam ataviangalia hivyo vidonda (physical exam) na pengine aweza hata kufanya baadhi ya vipimo (kama lab investigations) kujua chanzo.
Wachangiaji waliotangulia wanaweza kuwa sahihi kuwa baadhi ya sababu za vidonda kama hivyo ni pamoja na virusi (eg. herpes simplex) na fungus (eg. candida - oral thrush). Lakini kuna vitu vingine chungu nzima kama upungufu wa madini mwilini (eg. iron) ama vitamin (eg. folic acid).
Kwa vidonda vya herpes ni kwamba unakuwa na virusi vimekaa dormant mwilini, ukipata upungufu wa kinga mwilini (sio lazima HIV) hata kama ni kwa malaria ama stress vile virusi vinakuwa active na kusababisha vidonda hivyo- usually inapona vyenyewe mpaka upate stress tena.
Nini cha kufanya; muone mtaalam wa afya akijua sababu atakutibu inavyotakiwa; ukila majani na matunda tu ama kutumia petrolleum jelly tu utakuwa hujitendei haki.

Kila la kheir.
 
Ebu elezea zaidi...isije ukawa unaongelea oral thrush!! Anywayz, hizi utokea kwa watu wanaotumia abx, inhalers kama advair na hata watu ambao wapo immunicompromised/ suppressed immune kama watu wenye miwaya..... dawa nzuri inayotumika ni nystatin ambayo una swish na ku-swallow!!

Sina utaalamu kihivyo, lakini nitamsutua starring mmoja alete maneno yaloenda skuli!! Goodluck champ!

Heheheheee...najua vidonda ni profession yako....
 
How do I cure a sore mouth? I dont know what is the medical word for this but hii week nime experience vidonda karibu na my lips.. not inside. what causes this? is it kinda of infection? how do I cure this?


Thanks
 
How do I cure a sore mouth? I dont know what is the medical word for this but hii week nime experience vidonda karibu na my lips.. not inside. what the causes this? is it kinda of infection? how do I cure this?


Thanks

Do you fancy oral sexy? Tuanzie hapo
 
How do I cure a sore mouth? I dont know what is the medical word for this but hii week nime experience vidonda karibu na my lips.. not inside. what causes this? is it kinda of infection? how do I cure this?


Thanks

Kitaalam tunaita stomatitis,there so many causesof stomatitis.Kama hilo tatizo linakusumbua sana nenda hospital kamuone stomatologist(Daktari wa kinywa na magonjwa yanayohusiana na kinywa)
 
mkuu,vitamin B 2 SIYO Vitamin B complex.Vitamin B 2 is a component of vitamin B complex.
asante kwa ufafanuzi na elimu mwanana , ila daktari alienitibu mimi tatizo kama hilo , aliniaminisha hivyo, maana alisema ikiwa utapata Vitamin B 2 ama Vitamin B complex tatizo langu litakuwa limeisha.
ila nilinunua B complex na tatizo likaisha kabisa na mpaka leo ugonjwa huo ni historia.
 
Nafikiri ndg yangu utakuwa na stress fulani...pengine familia au maisha yetu ya kibongo! Well cha kufanya hebu tafuta dawa hii "BUNGELA PAINT" sina hakika na spelling ila ukifika pharmacy watajie watajua tu! Pharmacy kubwa plz sio duka za dawa baridi eeh?
 
Nafikiri ndg yangu utakuwa na stress fulani...pengine familia au maisha yetu ya kibongo! Well cha kufanya hebu tafuta dawa hii "BUNGELA PAINT" sina hakika na spelling ila ukifika pharmacy watajie watajua tu! Pharmacy kubwa plz sio duka za dawa baridi eeh?
Inaweza kuwa stress mhhh...u could be right... But i am not in Tanzania so i guess i cant get that name here but i appreciate ur input...
 
Kitaalam tunaita stomatitis,there so many causesof stomatitis.Kama hiilo tatizo linakusumbua sana nenda hospital kamuone stomatologist(Daktari wa kinywa na magonjwa yanayohusiana na kinywa)
Now u sounds like a really doc... This problem just started _3 or 4 days back i wanted a quick solution... But if it get serious i will take ur advice to c a doc... Thanks doc
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom