Vidole vyangu havisomeki kwenye machine za biometric

Asante

JF-Expert Member
Dec 18, 2009
2,085
1,076
Msaada wataalam.

Vidole vya mikono yangu vimeshindikana kusomeka kwenye mashine za biometric wakati wa kusajili laini za simu, nimejaribu zaidi ya vituo 4 lakini imeshindikana.

Naomba msaada ni kitu gani kinasababisha hali ya aina hii kujitokeza, na nifanye nini au nile vyakula au dawa za aina gani kusaidia vidole kusomeka.
 
Msaada wataalam.

Vidole vya mikono yangu vimeshindikana kusomeka kwenye mashine za biometric wakati wa kusajili laini za simu, nimejaribu zaidi ya vituo 4 lakini imeshindikana.

Naomba msaada ni kitu gani kinasababisha hali ya aina hii kujitokeza, na nifanye nini au nile vyakula au dawa za aina gani kusaidia vidole kusomeka.
Je unafanya kazi gani za nguvu zinazotumia mikono zaidi?
Kulima KWA jembe LA mkono?kugonga kokoto? Kuchoma mkaa, kuchanja kuni KWA shoka?

Inavyoonekana tatizo ni kwamba, mikono yako unaishughulisha sana NA kazi ngumu ngumu za kutumia nguvu, hivyo ngozi ya viganjani imekomaa na kukakamaa sana. Kiini cha tatizo ni lazima itakuwa hii, endapo kama haujawahi kuugua ugongwa wowote ule ambao umeathiri ubora wa ngozi yako ya kwenye viganja, e.g.ukoma.
 
You can try two things. First, carry some of the single use alcohol wipes and use one on your finger just before using the scanner; this will determine if it is dirt or grime or sweat or such.
The other is to try warming up your fingertip first. You may have poor circulation, leading to less blood flow, which in turn makes it harder for the scanner to read your fingers. You can try rubbing your fingers together, exhaling on the finger, or flexing and unflexing to increase blood flow. My wife has this particular problem and is able to get scanners to work after some finger warmup.
 
Msaada wataalam.

Vidole vya mikono yangu vimeshindikana kusomeka kwenye mashine za biometric wakati wa kusajili laini za simu, nimejaribu zaidi ya vituo 4 lakini imeshindikana.

Naomba msaada ni kitu gani kinasababisha hali ya aina hii kujitokeza, na nifanye nini au nile vyakula au dawa za aina gani kusaidia vidole kusomeka.
Vidole mfu angalia juani kama una vivuli vitatu.. Kikipungua kimoja basi ujue hata Vidole havitaweza kusoma popote


 


Msaada wataalam.

Vidole vya mikono yangu vimeshindikana kusomeka kwenye mashine za biometric wakati wa kusajili laini za simu, nimejaribu zaidi ya vituo 4 lakini imeshindikana.

Naomba msaada ni kitu gani kinasababisha hali ya aina hii kujitokeza, na nifanye nini au nile vyakula au dawa za aina gani kusaidia vidole kusomeka.
 
Msaada wataalam.

Vidole vya mikono yangu vimeshindikana kusomeka kwenye mashine za biometric wakati wa kusajili laini za simu, nimejaribu zaidi ya vituo 4 lakini imeshindikana.

Naomba msaada ni kitu gani kinasababisha hali ya aina hii kujitokeza, na nifanye nini au nile vyakula au dawa za aina gani kusaidia vidole kusomeka.
Unafanya kazi gani?
Unatumia vipodozi vikali?
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom