Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,791
Siku za nyuma nimekuwa nikigida ulabu kwa kwenda mbele.
Kuanzia jana nimegundua kitu kisicho cha kawaida, vidole vhangu vimekuwa vikitetemeka kila nikishika kitu.
Je hii ni dalili ya nini? Nifanyeje ili nisitetemeke, maana hata nikishika simu nimekuwa nikitetemeka, glass natetemeka nayo hadi nikijaza maji yanataka kumwagika
Kuanzia jana nimegundua kitu kisicho cha kawaida, vidole vhangu vimekuwa vikitetemeka kila nikishika kitu.
Je hii ni dalili ya nini? Nifanyeje ili nisitetemeke, maana hata nikishika simu nimekuwa nikitetemeka, glass natetemeka nayo hadi nikijaza maji yanataka kumwagika