Vidokezo vya wasichana, ambavyo kwa bahati mbaya wanaume hatuvielewi.

directa

Senior Member
Jan 27, 2017
102
150
kujaribu kutambua msichana anajileta kwako, ni biashara yenye risk kubwa sana. ishara zinaweza kuwa zinaeleweka kabisa lakini ukizitafsiri ndivyosivyo, ni janga. lakini hata mwanamke akijaribu kwa nguvu zake zote mwanaume amuelewe nini anamaanisha/au nini anataka, baadi ya wanaume hata hatuelewi. Tazama hizi story na uone namaanisha nini.

#1
wakati nipo high school niliingia darasani siku moja na msichana mkaliii akanifwata darasani akasema "unajua mimi na Muddy tumeshaachana"
nika sema "duh poleni sana"
kisha nikaspend siku nzima na usiku, kuwaza. kwanini aniambie mimi? kwanini aniambie? kwanini alikuwa anatabasamu wakati ananiambia?
mara ya pili nilipo kutana naye, nikamuomba tutoke weekend. akakubali. tukawe wapenzi tokea siku hiyo, na sasa hivi ni familia.

#2
girl mmoja alinibusu chumbani kwake, kwenye Bday yake, ilikuwa night kali. "embu ondoka tusije tukafanya kitu hapa," alininong'oneza. mimi nikaitikia aliafu nikasepa.

nipe story yakooooo

 
Hvyo vidokezo vyote alisha wah kunifanyia msichana flan iv enzi zetu ila axaiv ni mbunge huko kwa wahaya
 
Mbona tunaeleweka tu acheni zenu

Cc Smart911
Kumuelewa binadamu mwenzako ni kazi sana... Kwa sababu akili na mioyo hazifanani...

Mtoa mada hajaonesha wapi hajaelewa mwanamke... Kwa sababu huyo mmoja alimuelewa na akamtongoza wakawa pamoja...

Huyo wa pili alivyoambiwa toka tusije tukafanya kitu, akaelewa na kuondoka...


Kuna kulewa na kujiongeza... Mwanaume hapaswi kutumia nguvu nyingi kumuelewa msichana bali hupaswa kuwa na akili ya kujiongeza...
 
Kumuelewa binadamu mwenzako ni kazi sana... Kwa sababu akili na mioyo hazifanani...

Mtoa mada hajaonesha wapi hajaelewa mwanamke... Kwa sababu huyo mmoja alimuelewa na akamtongoza wakawa pamoja...

Huyo wa pili alivyoambiwa toka tusije tukafanya kitu, akaelewa na kuondoka...


Kuna kulewa na kujiongeza... Mwanaume hapaswi kutumia nguvu nyingi kumuelewa msichana bali hupaswa kuwa na akili ya kujiongeza...

saafi...kumbuka unaweza ukajiongeza...kumbe mwenzako amemaanishaa, kweli uondoke. na ukazua balaaa lingine jipya.

kwahiyo tunawakati mgumu sana. katika kutoa maamuzi. au kujua anamaanisha A au B
 
Back
Top Bottom