Amekabidhi akili zake kwa mwenyekiti wao huyo!! sasa hapo kuna wapiga kura kweli??Katika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura..
Hapa Msajili kaufyataKatika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura...
Huyu mwenye kiti na Mkurugenzi wake safari wajiandae kwenda ICC.NEC Kimya Sana, Wako Kwenye Usingizi Mwingi
Katika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura
Huku watoto wakiwa kwenye uniform za shule wanafundishwa namna ya kumpigia kura Magufuli.
Tunaitaka NEC ije iuelezee umma kama iebariki mchezo haramu kama huu kwenye chaguzi zetu.
Hayo yanafanyika huku NEC ikiwa imeruhusu kutumia vitambulisho ambavyo kimsingi si vya mpiga kura kuweza kupiga kura. Kwa maana hiyo, hata yakichapishwa majina ya wasio na vitambulisho vya mpiga kura yakawekwa kwenye orodha kwenye vituo halali na feki ni rahisi kwa wenye vitambulisho vingine kwenda na kupiga kura kwenye vituo hivyo hata zaidi ya mara moja
Tazama video ua Zungu akirubuni watoto kumpigia kura Magufuli.
View attachment 1608985
Unachokonolewa njia ya kutolea mashudu jinga wwChadema mtalia lia sana.Kama wamefikisha umri wa kupiga kura ni haki yao
Mafunzo kwanini yaseme mpigie Magufuli?Mbona video haina shida maana walikuwa mafunzo.
Jamaa wanaweweseka na siku zimebaki chache.Hauwezi kuzuia wanafunzi wa form six kupiga kura wengi wao wanefikisha miaka 18 changamoto kwa chadema ni kwamba ccm wanayo access ya kuwapata wanafunzi hao.lalamikeni mkimaliza tunajambo letu asimilia zaidi ya 84.
Mafunzo hutegemea maono ya mtoa mafunzo.Mafunzo kwanini yaseme mpigie Magufuli?