Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bashiru Ally Ni mtu mkubwa kwenye taasisi ya CCM, mbona kuchokonoa pua mbele ya camera?Naichukia ccm sana pamoja na waliomo
CCM wagombea wa ccm waliwekewa mapingamizi ya haki kabisa lakini yalikaraliwa, wagombea wa upinzani waliwekewa mapingamizi yasiyo na mashiko, yakakubaliwa...
Hako ka wakala kenu ka beberu nani akape kura?Yaani mgombea wao alivyo kilaza hata kuhojiwa na waandishi wa Habari nguli tu hataki na Anakimbia!! Mbaya zaidi ndo anataka watanzania tumchague!!! Thubutu yake!!!
Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu!
Lakini Kama vile amenadi sera ya CDM! amezungumuziaBashiru amekuwa mkali mpaka anamtisha mdada wa watu, Bashiru ukiulizwa swali jibu, sio unaulizwa na wewe unajibu kwa kuuliza, tena kwa sauti ya ukali, tulieni hii ndio Tanzania ya watanzania, na Lissu ndio chaguo letu.
Nilimwona mwaka jana kilosa, hafai kuwa kiongozjWanatumia ubabe wa kijinga sn
Hana loloteNilimwona mwaka jana kilosa, hafai kuwa kiongozj