Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Asilimia 99% Video za Ngono zinazosambazwa basi aliyevujisha ni Mwanaume. Wanaume tumekuwa watu Wapumbavu na Wabinafsi kupita maelezo hivi unawezaje kumrecord mwanamke then unavujisha hili kumwaribia CV yake
Ukivujisha unafaidika na nini. Wanaume mbona wanazidi kuwa watu wa ajabu sana.
Ila wanawake wanateseka jamani Unakuta Katelekezewa mtoto kila kitu ni yeye. Mambo yote ya ajabu wanawafanyiwa wanawake. Hivi Mwanaume unajiskiaje kuvujisha Video ya mwanamke sawa na mama yako.
Wanaume ndo tunaongoza kwa dhambi huku duniani. Hii yote kwa sababu ya ubinafsi, upumbavu na roho mbaya.
Wanaume kwanini Msiwa heshimu hawa wanawake kama mnavyowaheshimu Mama zetu.
Obviously Nashukuru sijajaliwa Upumbavu na Ubinafsi namuheshimu mke wangu kama navyomuheshimu Mama yangu.
Ukivujisha unafaidika na nini. Wanaume mbona wanazidi kuwa watu wa ajabu sana.
Ila wanawake wanateseka jamani Unakuta Katelekezewa mtoto kila kitu ni yeye. Mambo yote ya ajabu wanawafanyiwa wanawake. Hivi Mwanaume unajiskiaje kuvujisha Video ya mwanamke sawa na mama yako.
Wanaume ndo tunaongoza kwa dhambi huku duniani. Hii yote kwa sababu ya ubinafsi, upumbavu na roho mbaya.
Wanaume kwanini Msiwa heshimu hawa wanawake kama mnavyowaheshimu Mama zetu.
Obviously Nashukuru sijajaliwa Upumbavu na Ubinafsi namuheshimu mke wangu kama navyomuheshimu Mama yangu.