Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
hamna hapa napiga bia inaniokoaMm sina usemi ila angalia kujichafuaa
hamna hapa napiga bia inaniokoaMm sina usemi ila angalia kujichafuaa
"Sina maneno ya kwenye Kanga, kazi juu ya kazi, yaani bamba to bamba!"Ameshasema yeye hahitaji kuwa simba wala mamba, ngozi yake inatosha kumlinda.
Hiyo ni kawaida ktk mziki, hata wabana pua wanapotea!Tatizo nyimbo za kurap ni za mda na msimu walikua weusi fd q hawa jamaa walikua na mashairi balaa lakini wepotea kwenye jukwa kido weusi wana sikaka
Hamkumwona enzi zileNinampenda mpaka basi, kwangu hiyo stage nilivuka.
huyu handsome nammezea mate sana mie walahi
huwezi kumuona kila binadamu unless kuna sababu.... wimbo umetupa machoHamkumwona enzi zile
Mimi ntaonekana lini huku mashambani!!!!?huwezi kumuona kila binadamu unless kuna sababu.... wimbo umetupa macho
Mhhh...hii namba bibie mbona inatia mashaka...inazidi hata idadi ya watu duniani!zaidi ya views milioni 2,039,741 ndani ya siku 28