Video: Yadaiwa Samaki Mtu (Nguva) aonekana ufukweni

Naomba mwenye utaalamu wa kuipakua video iliyopo Instagram aipakue alafu atuwekee hapa


1649335414975.png
 
Wakuu!

Mwanzoni niliziona Kama hadithi tuu za kizamani lakini baada ya kuiona video hii mtazamo wangu umeanza kubadilika.

Ingawaje bado sijapata uhakika wa moja Kwa moja kuhusu video hii kama imeghushiwa au laa.

Naomba mwenye utaalamu wa kuipakua video iliyopo Instagram aipakue alafu atuwekee hapa

Link ni hii>>Samaki Mtu " Nguva' Adaiwa kuonekana ufukweni. Zamani ilikuwa hadithi Ila sasa Kama inakuwa kweli See this Instagram video by @:
Na nywele kaweka dawa kabisa
 
Inawezekana imeeditiwa kwa maana teknolojia ilipofika ni mbali...

Mtu anaweza kukaa hata masaa Matano kwenye laptop akiedit video ya sekunde 10 kusudi tu apate Reel yenye viewers Milioni 5

Kwa Video editing apps leo hii sishangai nikiona video kama hii na ukaambiwa ni kweli...

Kwa wale wanaotembelea Tiktok watanielewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom