Video ya wiki- Its so sad!!

Hii historia ita tuhukumu jamani!!!

Hapo fisadi wana nunua magari ya mamilioni ambayo kila siku hutembea mwendo wa kono kono kuwatoa kwenye mahekalu yao mikocheni, beach na masaki kuwapeleka kwenye ofisi zao mjini!, badala hizo hela zisaidie watoto kama hawa!! jamani!

Wanaona ni halali wapokee 10% na kugawa raslimali za nchi yetu bureeee kwa wageni, wakati watoto kama hawa wapo wanataabika!
 
Hii historia ita tuhukumu jamani!!!

Hapo fisadi wana nunua magari ya mamilioni ambayo kila siku hutembea mwendo wa kono kono kuwatoa kwenye mahekalu yao mikocheni, beach na masaki kuwapeleka kwenye ofisi zao mjini!, badala hizo hela zisaidie watoto kama hawa!! jamani!

Wanaona ni halali wapokee 10% na kugawa raslimali za nchi yetu bureeee kwa wageni, wakati watoto kama hawa wapo wanataabika!
Well said Rwabu and I dont think it will cost the Government any money to stop these kids from doing it but why should they be concerned? None of their kids goes down there!Na kinachonishangaza zaidi vyombo vyetu vya habari kama havioni haya mambo, did we really need to wait for wazungus to make this video for us?
 
People do understand matters but they ignore as they are not concerned,again they are afraid of political matters that's why they wait till whites to do those staffs for us,knowing that nothing can be done agaist them.Something which is really ridiculous.Some of the rich men/women help but large percent don't do that.The promlem of our country is that people are scared of government officials.They have got higher volume of doing nasty things agaist holly citizens.Tanzanians people are not politically strong that's why they are driven left right.I am so sorry to say that all these are done because of bribes/corruption.
 
Back
Top Bottom