Huo ukanda SADC na mambo yake...
Zezetas talking shit
Huo ukanda SADC na mambo yake...
Kama uliangalia muvi ya Saloon ya mamaKimbo wa Buza hautashangaa kwa hili, kila jambo huongezwa nyama. Ukiwagusa kwenye hela walizokuwa nazo huko ndiyo balaa hakuna chini ya milioni tano!Waliotekwa wana simu wanajipiga selfie?