kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,959
- 4,820
Hivi watu wanataka kukutoa roho halafu unataka waitwe malaika embu fikiria kama ni weweKiongozi wa dini anapoanza kuongea kwa vijembe huyo ni mnafiki,, hii ina include askofu shoo,
Kwanini wasiwe wa wazi tu kama yule askofu wa chadema,, (yule mwembamba),au mzee wa upako at least,,
Kiongozi wa dini kupiga vijembe ni upumbavu uliovuka mipaka