Video ya kusikitisha ya Rah P Akielezea Alivyoteswa na Kuzalishwa Watoto Wawili Marekani

Angekuwa bongo huyu sasa hivi angekuwa tayari anamaisha mazuri.. ....anadrive gari kali.........anaishi mjengo mzuri........kuna wanaume kibao wanapesa zao wangemuweka ndani na kumtunza.......yeye anaenda kukaa majuu akijua atakimbiza life......kule ukiwa mzuri utaishia kugeuzwa sex toy tu......watu wamevurugwa balaa na maisha
Wengi wanafikiri ukifika majuu tu maisha umeyashinda..
 
Tuongee ukweli, pamoja na yote, Life lake na life la wadada wa kibongo walio kwama, kama sista P, zay b na wengine wengi. wapi linawapiga zaidi? Rap P apartment kali, gari safi, ngozi inawaka, yaani kila kitu utamu. Bora akae uko uko maana angekuwa bongo pengine angekuwa kama Madame uchwara
 
Njoo Raha p mm nakuzimia tuu Rudi mama rudi tucheze cha Babaa babaah hata ukirudi na 3 children nitawalea.
 
Back
Top Bottom