Unamwita mweshimiwa rais kigeugeu? No.... muwe na adabu kidogo jamani mnaudhi sana.
jussa ni bogas sana
Tena hasa hata huo mkutano utizame wamejaa wapemba watupu.Hapo alienda kuhutumia maruhuni wenzie wa kipemba.
Jussa na Mbowe wamefanana sana.
Halafu mnasema CCM sio wabaguzi kwa kauli zako za kijuha kama hizi?
Halafu bado mnataka kura za wapemba?
kwani jusa anatofauti gani na majuha wengine jamaa akili hana kabisa hili lipo wazi sana.
Kama ambavyo wewe umefanana na marehemu komba yaani leo kila nikitazama sura yake pale karimjee naona mmefanana sanaa
Yeyote yule ambaye hakubaliani na Serikali yenu iliyojaa wadhalimu na chama chenu kilichojaa wahuni, wauza unga, wezi, wauaji wa albino, majangili na magaidi ni juha. Nyinyi tu ndio wenye akili timamu . Sasa kama mna akili sijui ni kipi kinawashinda kuendesha nchi mpaka kunakuwa hakuna maendeleo na wafadhili kugoma kutoa pesa zao kutokana na wizi na ufisadi uliokithiri hadi ndani ya Ikulu.
Jussa na Mbowe wamefanana sana.
Lakini mbona ipo wazi sana kuwa cuf lengo lao ni kuleta utawala wa kiarabu zanzibar.
Unanchekesha.
Msiende kuwaomba wapemba kura
Yani nyie nyoka wenye makengeza roho zenu mbaya hadi shetani anawaogopa sasa..manake mmemzidi
Mtazame vizuri Jussa kisha kamtazame Mbowe utajuwa wamefanana nini.