TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Huo ndiyo utakuwa mwisho wa ndoa!Mkeo akizaa je?
Huo ndiyo utakuwa mwisho wa ndoa!Mkeo akizaa je?
Mkuu mungu ni mkubwa na anatulinda dhidi ya maovu mengi sana!Kama ni kweli Mungu azidi tulinda na haya mambo ni hatariii!
Amepandisha mizimu ya kikwao!mkuu ungelia kwa kiswahili maana na hisi kwahali hiyo unaweza mgeuza mtu kuwa kachumbali ujue lol!
Kama ananyanyaswasa kwanini hasiache kazi?Huyu house girl ni shetani wa mguu mmoja!Itakua wanamnyayasa si bure ndio analipiza kwa mtindo huo.
Mkuu hata kama hii picture ni fake,lakinio haya mambo yapo kwenye jamii!hii video ya kizushi itakuwa ni clip tu ya kutengeza, habari inasema camera imetegeshwa lakin ukiangalia vizuri ni mtu ana record, source yenyewe gumzo la jiji, habari kibao za kidaku, udaku.
Itakua wanamnyayasa si bure ndio analipiza kwa mtindo huo.
Mkuu hata kama hii picture ni fake,lakini haya mambo yapo kwenye jamii!hii video ya kizushi itakuwa ni clip tu ya kutengeza, habari inasema camera imetegeshwa lakin ukiangalia vizuri ni mtu ana record, source yenyewe gumzo la jiji, habari kibao za kidaku, udaku.
Nakubaliana na wewe mkuu!Pengine mganga (sangoma) kamuagiza kuwa akifanya hivyo ima ataongezwa mshahara au baba mwenye nyumba atampenda. Just guessing - ha ha.
Teh teh teh!mkuu umeniacha hoi kwa kicheko!Au chumvi ilikuwa imeisha
Mkeo akizaa je?
kwangu mmni marufuku kupika house girl
MziziMkavu tuombe jamani ili kupata housegirl mwaminifu ukute tulishakula vinyesi mala kibao tu bila kujua duh!
Hii Video imeonyeshwa Uarabuni?Mkuu Mzizi Mkavu ilionyeshwa sana Uarabuni na kiasi iliwatia hofu makatili hao!
Hii Video imeonyeshwa Uarabuni?