Harmorapa Fans' Special Thread...

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
WhatsApp Image 2017-02-04 at 11.49.48 AM.jpeg



16908947_429476347392551_9067781361883938816_n-640x400.jpg

Tangu Msanii Harmorapa ameingia kwenye muziki kwa kuanza kujifafanisha na msanii Harmonize, kila wakati rapa huyo amekuwa akiingia kwenye 'headline' mbalimbali na kuzungumziwa na wasanii wengi wakubwa nchini, wengine wakifurahishwa na matendo yake huku wengine wakimdhihaki na kuona kuwa hastaili kuwa mwanamuziki.

Alianza kama utani hivi kwa kufananishwa na mkali wa lebo ya WCB then mdogo mdogo anaanza kupenya kwenye masikio ya wapenda burudani.

Hapa Tunamzungumzia HarmoRapa Jamaa anatabiriwa kufanya makubwa kwenye mziki wa bongo fleva Time hii hapa. Single yake ya kwanza usigawe pasi ndiyo iliyomuweka kwenye ramani na kuanza kujulikana japo haikufanya vizuri sokoni.

This Time around HarmoRapa amekuja na another hit in Town goes by the name “Kiboko ya Mabishoo” wengi walidhani kama ni Jokes lakini Jamaa amekuwa serious sasa baada ya kusaini deal na kampuni kubwa ya upigaji picha na teknolojia bongo Slides Visual chini ya Mx Carter.

Jamaa kwa kasi hii anatabiriwa kusumbua kwenye game wasanii waliopo hawatakiwi kubweteka na kasi hii ya ukuaji wa ajabu na wanatakiwa wamuangalie zaidi sababu yupo chini ya menejimenti nzuri inayofanya promotion ya uhakika kuendana na soko la sasa.

kupitia mitandao ya kijamii Facebook, Twitter na Instagram jina la Harmorappa limezungumzwa Mara nyingi na Story zake zikifuatiliwa kwa wingi na wapenzi wa burudani Bongo.
 
Dogo ndio ameshakuwa star mkuu,inabidi ajiongeze tu ili aweze kusonga mbele,iwapo ataridhika na hapo alipofikia soon tu itakula kwake
Hawezi kudumu kwenye spot light kwa maana yani u star wake haujaletwa na kazi yake ya mziki.
Yani drama zake zimemfanya amekuwa na jina kubwa kuliko mziki wake na watu wengi wanamjua lakini hawajua hata wimbo wake.
Mtu ambaye ameweza mantain kwa drama ni wema sepetu sijui kama hamo ataweza maana siyo muda mrefu watu watachoka hizi drama unless zingekuwa zinaenda sambamba na kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom