Ciprofloxacin
JF-Expert Member
- Jun 22, 2013
- 284
- 537
Unamfahamisha ww kama nani?Unapotumia alama ambayo inaakisi unyama waliofanyiwa (na kwa kiasi wanaendelea kufanyiwa) kundi fulani, halafu unapoambiwa kuwa alama hiyo inawaumiza ukakataa kuiondoa, ni kukosa utu. Sawa tuseme aliitumia kwa bahati mbaya au kutokujua, ila unapofahamishwa, tumia busara kuomba msamaha na kuiondoa.