Video ya Alicia keys na Swizz beats Wakicheza wimbo wa Meja kunta ft Im lavalava Wanga wabaya

Humjui Alicia afu na we ni great thinker? au na we ni mjuvi wa mambo ya ulimwenguni? kweli kumejaa mitoto na mijinga jf nowadays.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa utakuwa na matatizo ya kufikiri, Mimi nisimjue Alicia keys wewe Msukuma wa sumve ndio umjue. Alafu kwa ufala wako unaniita mtoto unafikili nimekuja JF kwa mafuriko Kama wewe.,
 
Mbona hata Young Thug na metro Booming walicheza wimbo wa mwana wa king k ila jamaa kawazuia wasipost sababu hapendi showoff.
 
Swizz mjanja Sana, anataka kuwa relevant Tanzania. Ameangalia WCB Kuna fan base kubwa Akaona apost vipande vya nyimbo zao. Na wabongo kwa vurugu hata wasiomjua huyu Arab wamesha-mfollow tayari.

Swizz na Diamond ni buddies.... inasemekana waliunganishwa na JK enzi hizo wala si ajabu kumkuta anacomment kwa page za Diamond au kupost chochote, FYI.
 
Swizz mjanja Sana, anataka kuwa relevant Tanzania. Ameangalia WCB Kuna fan base kubwa Akaona apost vipande vya nyimbo zao. Na wabongo kwa vurugu hata wasiomjua huyu Arab wamesha-mfollow tayari.

Nani asiemjua swizz on the beats alieproduze nyimbo ya C breezy na lil wayne "I can transform ya"? Labda kama mtu ametoka burigi huko ndani ndani ndo hutaweza kumjua.
 
Nani asiemjua swizz on the beats alieproduze nyimbo ya C breezy na lil wayne "I can transform ya"? Labda kama mtu ametoka burigi huko ndani ndani ndo hutaweza kumjua.
We ni boya kinoma...nyimbo ya 2009??
Jamaa alipotea kwenye ramani bana.
Wasanii wanaopotea marekani wanakujaga kutafuta kiki Africa kama
Omarion
Rick ross
 
Swizz Beatz anatafuta followers kinguvu,maana aliona shazi lililovamia Page ya Aston Villa ya samata na yeye anataka kuteleza na nyota ya wabongo.
Swizz mjanja Sana, anataka kuwa relevant Tanzania. Ameangalia WCB Kuna fan base kubwa Akaona apost vipande vya nyimbo zao. Na wabongo kwa vurugu hata wasiomjua huyu Arab wamesha-mfollow tayari.
The problem mnadhani hii ni mara ya kwanza! Back in the days huyu huyu Alicia na Swizz walisha-post ngoma ya Diamond wakiwa na mtoto wao kwenye gari huku waki-dance!!! Na Swizz kam-follow Diamond kitambo sana na ndio maana aliweza kuiona ile ngoma baada ya kuwa Diamond kai-post!
 
Like seriously? Swizz beatz atafute followers? You must be dreaming

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu Swizz ameanza kufanya muziki kitambo sana na nimeanza kumsikia Swizz tangia kwenye Goma la Eve -What ya want 1999 kipindi hiko Dimond anapenga makamasi na mkono lakini ndio kwanza ana followers 2.8m ,Uki interact na waafrica unapata followers bila kutumia nguvu wewe post kazi zao tu....Wewe angalia tu baada ya kupost hzo video angalia trend ya followers wake kama wapo vile vile.
 
The problem mnadhani hii ni mara ya kwanza! Back in the days huyu huyu Alicia na Swizz walisha-post ngoma ya Diamond wakiwa na mtoto wao kwenye gari huku waki-dance!!! Na Swizz kam-follow Diamond kitambo sana na ndio maana aliweza kuiona ile ngoma baada ya kuwa Diamond kai-post!
We elewa tu hivyo hivyo kwamba Swizz anatuta fanbase africa baada ya kuona video za Domondi zina views nyingi na yeye anataka kuteleza kwenye ganda la ndizi.
 
Back
Top Bottom