Swizz mjanja Sana, anataka kuwa relevant Tanzania. Ameangalia WCB Kuna fan base kubwa Akaona apost vipande vya nyimbo zao. Na wabongo kwa vurugu hata wasiomjua huyu Arab wamesha-mfollow tayari.
Umetisha captain wa team kibaBeyonce na Jay-Z washacheza sidiuzi me sema hawajapost tu, hayo ni mambo ya show off
Nashangaa kwenye post hata mwenye nyimbo kaona kawaida tu hajacomment...lakin luvuluvu limeandika broken hatarii
Humjui Alicia afu na we ni great thinker? au na we ni mjuvi wa mambo ya ulimwenguni? kweli kumejaa mitoto na mijinga jf nowadays.Swizz mjanja Sana, anataka kuwa relevant Tanzania. Ameangalia WCB Kuna fan base kubwa Akaona apost vipande vya nyimbo zao. Na wabongo kwa vurugu hata wasiomjua huyu Arab wamesha-mfollow tayari.
Ya wote wawili ndomaana wameweka lavalava & meja kunta.
Ni wao wenyewe au mashabiki waoTatizo la hawa WCB Ndio hili. Kudhani wao ni bora zaidi ya kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app