Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=3]Huyu ndio kidume sio Ubama kutuzalilisha Watu weusi na wafrika kuhalalisha ushafu.[/h]
Smith akimchapa kibao Vitalii Sediuk
Will Smith alikuwa nchini Urusi akiitangazia filamu yake mpya ya Men In Black 3, ndipo alipokuwa akisalimiana na mtangazaji wa TV wa Ukraine Vitalii Sediuk ambaye alimkumbatia na kisha kutaka kumbusu katika mdomo kitendo ambacho Will Smith kilimkasirisha na kumfanya ampige kibao cha shavu mwandishi huyo.
Will Smith alisikika akimwambia mwandishi huyo "Hey, wewe ni tatizo lako?"
Nyota huyo wa The Fresh Prince alimwambia mwandishi mwengine kuwa "Alikuwa anajaribu kunibusu mdomoni"
"Ana bahati sijataka kumpiga ngumi".
Video:
Posted by Roy Snr. at 12:13
Bonyeza vidio
Roy's Group: Video: Will Smith amchapa kibao mtangazaji wa TV wa Ukraine baada ya kutaka kumbusu mdomoni
Smith akimchapa kibao Vitalii Sediuk
Will Smith alikuwa nchini Urusi akiitangazia filamu yake mpya ya Men In Black 3, ndipo alipokuwa akisalimiana na mtangazaji wa TV wa Ukraine Vitalii Sediuk ambaye alimkumbatia na kisha kutaka kumbusu katika mdomo kitendo ambacho Will Smith kilimkasirisha na kumfanya ampige kibao cha shavu mwandishi huyo.
Will Smith alisikika akimwambia mwandishi huyo "Hey, wewe ni tatizo lako?"
Nyota huyo wa The Fresh Prince alimwambia mwandishi mwengine kuwa "Alikuwa anajaribu kunibusu mdomoni"
"Ana bahati sijataka kumpiga ngumi".
Video:
Posted by Roy Snr. at 12:13
Bonyeza vidio
Roy's Group: Video: Will Smith amchapa kibao mtangazaji wa TV wa Ukraine baada ya kutaka kumbusu mdomoni