MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,747
- 48,343
Nimeipata hii video kwenye uzi mwingine, Watz wanaopiga vifua huku wakisema tuwaige wao kwamba wana mbinu bora za kuidhibiti Corona, waitazame hii video, waziri anakiri kuhusu uwezo wao kuwa mdogo, hususan akiwaangalia Watanzania mpaka mwenyewe anacheka tu, maana wapo wapo tu.
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/04/2368365_VID-20200414-WA0020.mp4
https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2020/04/2368365_VID-20200414-WA0020.mp4