- Thread starter
- #21
Ndio maana nchi yetu ilikwenda mrama kwa kuwa na mtu mwoga kukaa meza moja na watu wa hapa nyumbani na jumuiya ya kimataifa. Waziri anaonesha ni mtu atakayeruhusu mijadala na kuimudu na sio kuishia kutupa wapinzani wake ndani au kuwaita wahisani mabeberu.Hivi kama nchi, ni nini tunataka?Maana naona kama tunapotea. We don't need the best presenters. Things must be done.