Video: Wataalamu wa silaha tuzungumzie accuracy ya hizi ndege za Israel

Trubarg

JF-Expert Member
Jan 8, 2020
4,253
6,889

_Yani nga inalenga pale pale
_ Hakuna jengo la jirani lililoathirika.
Hii inawezekanaje...?
_Na hawa wachukua video walijuaje kama hilo jengo linakuja kuripuliwa?
 
Makomandoo au special forces walishatua Gaza tayari na kuweka vifaa maalumu kwenye Target zao hivo vifaa Ndio vinawasiliana na makombora kwa kusaidiana na satellite 🛰
 
Nmeangalia bbc kwanza kuna makombora ya kutoa onyo kwa raia yalikuwa yanatua pembeni ya hili jengo ila yalikuwa hayana madhara.

Na mtangazaji akawa anasema hilo jengo litadondoshwa muda si mrefu. Na baada ya makombora ya onyo ndio yakafuata hayo yaliyoharibu kabisa.
 
Hizi kitu ni moja ya siraha za kisasa kabisa na ambazo ndizo teknolojia inafanya kwa sasa,wakati wewe unapeleka majeshi uwanjani mwenzako anakuangalia na kusema hiiiiii, anakuchapa ukiwa chumbani unaagana na mkeo.

Hizi kitu when an effect it chooses the time, area, width and length of activation the specific target without affects proprietor card(s) that it will affects kwa wengine, remember up to all there's connection from satellite.

Foreigner nations has the newest version of the armor that use when they are looking for ones ambaye aonekane uwanja wa mapambano, so wanamnyofoa huko aliko kwa aina hii ya siraha 😁!.
 
Duh! Hii ni hatar.
Kuna series moja inaitwa “Fauda” inafundisha kitu kuhusu hii vita ya hawa mahasimu ila wanaoumia ni watoto na wananchi sasa sijui itaisha lini.
 
Nmeangalia bbc kwanza kuna makombora ya kutoa onyo kwa raia yalikuwa yanatua pembeni ya hili jengo ila yalikuwa hayana madhara.

Na mtangazaji akawa anasema hilo jengo litadondoshwa muda si mrefu. Na baada ya makombora ya onyo ndio yakafuata hayo yaliyoharibu kabisa.
... daadeki! Kuna jamii zina akili sio mchezo!
 
Hizi kitu ni moja ya siraha za kisasa kabisa na ambazo ndizo teknolojia inafanya kwa sasa,wakati wewe unapeleka majeshi uwanjani mwenzako anakuangalia na kusema hiiiiii, anakuchapa ukiwa chumbani unaagana na mkeo.

Hizi kitu when an effect it chooses the time, area, width and length of activation the specific target without affects proprietor card(s) that it will affects kwa wengine, remember up to all there's connection from satellite.

Foreigner nations has the newest version of the armor that use when they are looking for ones ambaye aonekane uwanja wa mapambano, so wanamnyofoa huko aliko kwa aina hii ya siraha 😁!.
... message delivered viunga vya Tehran! Kama maandishi hawayajui japo wajifunze kupitia hilo trela! Picha lenyewe bado wala Gaza sio pahala sahihi pa kulicheza!
 
Hizi kitu ni moja ya siraha za kisasa kabisa na ambazo ndizo teknolojia inafanya kwa sasa,wakati wewe unapeleka majeshi uwanjani mwenzako anakuangalia na kusema hiiiiii, anakuchapa ukiwa chumbani unaagana na mkeo.

Hizi kitu when an effect it chooses the time, area, width and length of activation the specific target without affects proprietor card(s) that it will affects kwa wengine, remember up to all there's connection from satellite.

Foreigner nations has the newest version of the armor that use when they are looking for ones ambaye aonekane uwanja wa mapambano, so wanamnyofoa huko aliko kwa aina hii ya siraha 😁!.
... huo mjengo umedondoka wima kwa awamu tatu; ilianza kushuka wing ya kushoto; ikaja ya kulia; kisha likamalizikia the main one la katikati. Sipati picha waliokuwa "kikaoni" in any room kwenye hilo la katikati at that moment; hizo panic nadhani walikufa kifo kibaya sana kabla hata halijadondoka! Safi sana! Cc: STRUGGLE MAN; Bwana Utam
 
Israel hawana lolote. Palestina inatumiwa na US kujaribia silaha zao kwa ngozi ya Israel. Soma vitabu meaning of CIA n.k
 

_Yani nga inalenga pale pale
_ Hakuna jengo la jirani lililoathirika.
Hii inawezekanaje...?
_Na hawa wachukua video walijuaje kama hilo jengo linakuja kuripuliwa?
Zinaitwa smart bomu mkuu
 
Wapalestina wangekaa kimya tu hao waisrael si watu wa kawaida kushindana nao ni kujiumiza bure
KINACHONIKERA NI KIMOJA TU,HAO WANAMGAMBO WA PALESTINA NDIO WALIOANZISHA TIMBWILI LOTE HILO,MASKINI YA MUNGU ISRAEL ALIKUWA HANI HILI WALA LILE GHAFLA ANASIKIA MAKOMBORA ZAIDI YA MIA YANATUA ISRAEL,KWA UCHOKOZI HUU WA PALESTINI DHIDI YA MTU ALIYEKUWA AMETULIA ACHA APATE KISAGO MAANA HUU SASA NI UPUUZI KABISA,HAPO ZAMANI BINAFSI NILIKUWA NAJUA ISRAELI NDIO WACHOKOZI.
 
HAPO ZAMANI BINAFSI NILIKUWA NAJUA ISRAELI NDIO WACHOKOZI.
🤣 :D
Nilishangaa nasikia UN walitaka kuwaweka Uganda, wakakataa wakasema wanataka nchi yao, huwa sipati picha kama wangekaa Uganda ikaanza opereshen panua mipaka sijui kama tungesalimika

When Theodor Herzl began his quest to establish a homeland for the Jewish people, he sought out the support of the great powers to help achieve his goal. In 1903, Herzl turned to Great Britain and met with Joseph Chamberlain, the British colonial secretary and others high ranking officials who agreed in principle to Jewish settlement in East Africa.​

At the Sixth Zionist Congress at Basel on August 26, 1903, Herzl proposed the British Uganda Program as a temporary refuge for Jews in Russia in immediate danger. By a vote of 295-178 it was decided to send an expedition ("investigatory commission") to examine the territory proposed. Three days later the British government released an official document allocating a "Jewish territory" in East Africa "on conditions which will enable members to observe their national customs."​


Declaration of the British Government allocating a “Jewish Territory” in East Africa (August 29, 1903)
CLICK TO ENLARGE​

While Herzl made it clear that this program would not affect the ultimate aim of Zionism, a Jewish entity in the Land of Israel, the proposal aroused a storm at the Congress and nearly led to a split in the Zionist movement. The Jewish Territorialist Organization (ITO) was formed as a result of the unification of various groups who had supported Herzl's Uganda proposals during the period 1903-1905.​

The Uganda Program was finally rejected by the Zionist movement at the Seventh Zionist Congress in 1905, but Nahum Syrkin and Israel Zangwill called an alternative conference to continue the plan of the Uganda scheme.​

The fortunes of the territorialist movement depended to no small degree on the seriousness of anti-Semitism on the one hand and the failure of the political dimension of Zionist activity on the other. So, for example, the movement's ranks swelled somewhat following the pogroms in 1905, but declined considerably after the securing of the Balfour Declaration.​

Zangwill became the movement's undisputed leader. After the rejection of the Uganda scheme on the grounds of impracticability by the British, Zangwill turned his attention to settlement in Canada and Australia. But opposition from local residents led him to abandon the scheme. Expeditions were sent to Mesopotamia (Iraq), Cyrenaica (Libya) and Angola but little came of these expeditions.​

A project that had some concrete success was the Galveston scheme which contemplated the settlement of Jews in the American Southwest, in particular in Texas. The project received the assistance of Jacob Schiff, the American Jewish banker, and some 9,300 Jews arrived in that area between 1907-1914, through the Emigration Bureau of the Territorialist organization.​

With the publication of the Balfour Declaration, the ITO faced a severe crisis since many of its members came to the conclusion that Eretz-Israel was not so utopian after all. The organization's failure was due to its inability to secure a definite project, and its lack of sensitivity toward the historic and traditional sentiments of Jewish identity.​
 
Back
Top Bottom