Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,919
- 15,604
Russia imesema wanajeshi wa Ukraine mia tisa na hamsini na tisa (959) waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha chuma huko Azovstal, Mariupol wamesalimu amri hadi kufikia jana (juma nne). Kati ya hao 959, wnajeshi 80 walikuwa wamejeruhiwa na kati yao 51 walipelekwa hospitali iliyo chini ya uangalizi wa Russia kupatiwa matibabu.
Wakati Zelensky na vyombo vya habari vya magharibi vikisema kuwa Ukraine imefanya misheni ya kuwaokoa wanajeshi hao waliokuwa wamejificha kama panya kwenye mahandaki ndani ya kiwanda cha cha chuma, Azovstal, wanajeshi hao wamejikuta wakiingia mikononi mwa majeshi ya Russia. Kwa upande wake Russia yajiandaa kuwafungulia mashitaka ya kigaidi wapiganaji wa Azov, ambapo wataishia kula shaba badala ya kuchukuliwa kama wafungwa wa kivita.
Ifuatayo ni video ikionesha wanajeshi hao wa Ukraine, wakisalimu amri na kusachiwa na majeshi ya Russia.
========
Wakati Zelensky na vyombo vya habari vya magharibi vikisema kuwa Ukraine imefanya misheni ya kuwaokoa wanajeshi hao waliokuwa wamejificha kama panya kwenye mahandaki ndani ya kiwanda cha cha chuma, Azovstal, wanajeshi hao wamejikuta wakiingia mikononi mwa majeshi ya Russia. Kwa upande wake Russia yajiandaa kuwafungulia mashitaka ya kigaidi wapiganaji wa Azov, ambapo wataishia kula shaba badala ya kuchukuliwa kama wafungwa wa kivita.
Ifuatayo ni video ikionesha wanajeshi hao wa Ukraine, wakisalimu amri na kusachiwa na majeshi ya Russia.
========