Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,613
- 25,992
astaghfirullah!
Afadhali kuangalia jengo la ufipa. Eti ndio makao makuu. Duh, mithili ya banda la kuku?
astaghfirullah!
Most nonsense comment!!Nonsense comments!
Huwa hamkubali ukweli wana wa mzungu Adam(mwana-adam) hasa wa TzNonsense comments!
Aliyewakalilisha kuwa nyie ni wana-wa- Adam aliwaharibu sana kiasi kwamba hamjijui nyie ni wana wa Mungu kama alivyo mzungu AdamHuwa hamkubali ukweli wana wa mzungu Adam(mwana-adam) hasa wa Tz
Ila jamaa yupo real sana....halafu vitu anavoongea ni vya kweli...Tutabisha tu lakini trust me anayoyasema trump jukwaani, ndio yaleyale wanayoyasema wazungu kwenye faragha zao. Hapa alichofanya Trump ni kuuondoa unafiki na kuweka mambo wazi. So kama kuna hatua zozote tunazopaswa kuzichukua, si juu ya Trump pekee bali ni jamii yake yote.
Sasa wengune watachukia nini wakati ni mashithole kweliHuyo Rais wa USA ni kama ametumwa kuiharibu Dunia ana matamko ya ajabu ajabu sana eti Haiti na African Nation ni shithole nachoshangaa ni Botswana pekee kwa Africa ndio imejitokeza kumwambia balozi ajibu hoja ya Rais wake kama na wao ni shit hole Nation watoe tamko lao...
Wewe ni as***holeJPM amesoma alama za nyakati ndiyo maana hajisumbui kwenda kwenye nchi za watu weupe!
Hakika tumepata rais kutoka kwa MAULANA!
Asante Mwenye Enzi Mungu!
Jithamini ndugu zangu
Ongeza Somalia, DRC, South Sudan, Libya, Zimbabwe na maelfu wa waafrika wanaokimbia "shithole countries" zao kutoka pembe zote za bara la afrika na kufia baharini wakijaribu kufika ulaya.
Wewe ni mwendawazimuWewe ni as***hole
Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries
Natamani uhuru aongoze East África.
Trump yuko sahihi kusema bara ni chafu km anamaanisha kidemokrasia,Africa Hakuna demokrasia kwani ni neno baya sana na halitakiwi na hawa wakoloni weusi wanaoangalia maslai yao binafsi.Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries