Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,879
- 2,554
Mkuu unajua maana ya shithole?Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries
Mkuu unajua maana ya shithole?Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries
Mkuu hapa ni sawa umekoleza tusi alilotukanwa ndugu yako. Au wewe ni Raia wa Canada?Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries
Du msafara wa Gari 46 kuzunguka nazo tena zenye CC za Kutosha si mchezo kweli Ankali amekuja kupunguza matumizi.
Hisia zako tu, naye anayeudhuria vikao alishawahi kusema hivyo?Tutabisha tu lakini trust me anayoyasema trump jukwaani, ndio yaleyale wanayoyasema wazungu kwenye faragha zao. Hapa alichofanya Trump ni kuuondoa unafiki na kuweka mambo wazi. So kama kuna hatua zozote tunazopaswa kuzichukua, si juu ya Trump pekee bali ni jamii yake yote.
Acha tu, wanakusanya kodi ili watembee na kulindwa kama wafalme, halafu eti wao ndio watetezi wa wanyonge?! Bullshit..ndio hapo sasa
sio gari 46, LAND CRUISER 46
za petrol, bora zingekuwa angalau za diesel
na huyo ni mmoja tu, kuna Samia Suluhu, Majaliwa, Shein, wastaafu sijui Mwinyi, Pinda, kiiibao...
siku moja nikaona ki msafara cha Katibu Mkuu Kijazi na yeye ana vi piki piki mbele.... e bana nilicheka...duuuu
Utakuta hio misafara gharama yake haina tija mfano kuzindua tawi,ndio hapo sasa
sio gari 46, LAND CRUISER 46
za petrol, bora zingekuwa angalau za diesel
na huyo ni mmoja tu, kuna Samia Suluhu, Majaliwa, Shein, wastaafu sijui Mwinyi, Pinda, kiiibao...
siku moja nikaona ki msafara cha Katibu Mkuu Kijazi na yeye ana vi piki piki mbele.... e bana nilicheka...duuuu
Utakuta hio misafara gharama yake haina tija mfano kuzindua tawi,
Shithole wewe Mwenyewe.Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries
kama ni kauli mbovu hata magufuli tusi msahau tena yeye anazielekeza kwa anao waongoza. magu akimaliza kuongea panado zinatafutwaHuyo Rais wa USA ni kama ametumwa kuiharibu Dunia ana matamko ya ajabu ajabu sana eti Haiti na African Nation ni shithole nachoshangaa ni Botswana pekee kwa Africa ndio imejitokeza kumwambia balozi ajibu hoja ya Rais wake kama na wao ni shit hole Nation watoe tamko lao...
Zama za utumwa mwafrika alikuwa analazamishwa kwa nguvu kwenda ulaya siku hawatumii nguvu kuna watumwa wengi Wa hiari kutwa kucha wanashinda embassy kuomba huruma ya kuwa watumwa wa hiari wakaoshe vyombo,na kubeba boxi ulayaOngeza Somalia, DRC, South Sudan, Libya, Zimbabwe na maelfu wa waafrika wanaokimbia "shithole countries" zao kutoka pembe zote za bara la afrika na kufia baharini wakijaribu kufika ulaya.
Kwa yanayofanyika
Gambia
Tanzania
Uganda
Burundi
C.Africa
Zambia
Congo
Ni sawa kuitwa shithole countries