Atubela
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 749
- 851
Hakuna kitu kama hichoJJuzi ulisikia mkwaruzano baina ya mahakama kuu na bungeKiukweli wakenya wana haki ya kutucheka! Katiba yao na jinsi wanavyoheshimu haki za makundi ya kiraia ni darasa tosha kwa Tanzania! Yote hayo ni matokeo ya kukitupa nje chama kikongwe cha KANU!
Sisi huku bado tunaendeleza sisasa za kikoloni kwasababu bado tunatawaliwa na chama kikongwe kilichong'ang'ania hadi sheria za kikoloni na ulaghai wa kila aina! Mkiongeza pressure ya kudai katiba mpya, wakija kwenye kampeni wanawambia chagua flani ataleta katiba mpya, mkshamchagua mnaambiwa katiba mpya sio kipaumbele!
Mahakama kuu inamtaka rais Kenyatta kulivunjilia mbali bunge la nchi hiyo kwakuwa limeshindwa kutekeleza takwa la kikatiba katika kuweka usawa wa kijinsia na makundi mbali mbali