Serikali kumkata ni sawa maana sasa hv binadamu wengi wamekuwa wa ajabu ajabu, maana bila kuchukua hatua yawezekana wakatengenezwa mazombi ya hatari katika taifa.Serikali ifanye mpango huyu mfalme na nabii tito waoane. Mtanishukuru baadae
Serikali kumkata ni sawa maana sasa hv binadamu wengi wamekuwa wa ajabu ajabu, maana bila kuchukua hatua yawezekana wakatengenezwa mazombi ya hatari katika taifa.Serikali ifanye mpango huyu mfalme na nabii tito waoane. Mtanishukuru baadae
Maisha yake hata ujumlishe ukoo wetu wote umfikii hata robo
Mwenye maisha mazuri kwenye kizazi hiki anakubalika sana na haijalishi hata kama utajiri wake una makando kando kiasi gani,Sijui anayesema huyu mama hana madhara kama anajua undan wa makosa yake kijamii na kisheria! Tuwe tunadadavua mambo. Tunafikiria kwa bei nafuu sana. Na hatujui serkali ni nin hasa na majukum yake.
Huyu mama kashafiris raia kadhaa. Kuna mtoto alkuwa haend shule kisa ni siku za mwisho.
Usajir wa kanisa lake hauko sawa.
Sio mtii wa sheria na mamlaka km mwehu vile.
Anaharib nguvukaz ya taifa.
Sasa itafkia tapeli tumpe heshma kwa kuiba kwa akili nyingi.
Tukio hili serkal ichungulie na kwa wengine.
Kibwetere aliachwa watu wakapigwa kiberit hiv hiv.
Tusisahau hukum ya juzi tu bukoba wazaz kugoma kupeleka watoto shule kwa iman za hivi.
Sote ni watoto wa baba mmoja ...serkali.
Baba linda ustawi wa familia yako!
Wapi nabii tito..?Hawa wenye vituko wawe wanaachwa tu kama vituko vyao havina madhara kwa jamii, huu mtindo wa kamatakamata na kushitaki mahamani ipo siku polisi watakamata na kushitaki wendawazimu mahakamani halafu polisi wenyewe ndio wataonekana kituko
Mfalme 'MUNGU' Zumaridi, sikuwahi kumsikia mpaka nilipoona ma zombie yake yakiwatoa jasho polisi, kumbe ni mkali wa kusakata sebene na mambo mengine mengi mazuri.Siku chache tangu Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kumkamata Diana Bundala maarufu kwa jina la Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa Kanisa la Zumaridi, ameendelea kutrend mitandaoni kutokana na vituko vyake.
Akiwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mwanza alipofikishwa na wenzake, Machi 2, 2022, alionekana kufanya vituko kadhaa ikiwemo kuwaambia waandishi wa habari kuwa: “Mmemuona Mungu?”
Nukta chache baadaye akaonekana akijibu mwandishi ambaye alimsalimia kwa kumwambia “Mungu hi!” Naye akamjibu: “Hi!” kisha akamchumu mwandishi huyo kwa mbali.
View attachment 2138340
Video: Yuhoma TV
Achana kabisa na kitu imani,kuna watu wamehaidiwa bikira 72 wanaua hovyo wanadamu wenzaoHebu tafakari, kama yeye ni mwehu hivyo, hao waumini wake ni machizi kiasi gani mpaka wamemuamini yeye awe mkuu wao?
khaaahhuyu wakimpeleka magereza hamalizi mwezi anapewa Unyapara au Askari selo au member of staff
akifungwa kabisa hamalizi mwka anapewa unyapara Mkuu kwa upande wa wanawake maana kwa namna
alivyofetuka akili akiingia jela akaongezea ufyetukaji kidogo akawa KAFYETUKA square,hamna kima yeyote
itamwambia kitu maana ni chizi bin mwehu huyu mungu zumaridi,hapo tu n uraia,Akika jela miaka mi 3 na Mke ataoa huko huko.
Kuna mdau atakuja na kukuita kerubi!!!!
bibi huogopi kumdhihaki Mungu?Anachanganya cha Arusha na cha Musoma huyu, si bure
umepiga kwenye mshono. HahahahMkuu usicheke, sentensi inayofuata haitokufurahisha...
Hivi kuna aliekula vitasa vingi kumshinda Yesu wa Nazareti? Lakini mamilioni kwa mamilioni ya binadamu wanaamini ni Mungu!
Unapigia jibu mstari😅Kuna mdau atakuja na kukuita kerubi!!!!
Hapo maana yake kichwa kama seneneTuacheni masihara mwanamke akisuka mistari kama kichwa ndio kimekaa kama cha zumaridi
anakua kama wale binadamu wa kwanza kina homosapiens (stage 1) yani kichwa yake haina chogo
maskio ni ya kutafuta na tochi (viskio vduchuuu) halafu kwa kumalizia kile kchogo cha kutafuta na tochi kimeangalia kwa juu, weeeeee Wadada vaeni tu ma WIG nimekubaliiiiiiiiiiii na sasa naelewa wengine mko na special Case...