Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,864
- 155,822
- Thread starter
- #21
Let them come
DadekiView attachment 1778686
napendekeza hao wababe wa Jangwani wangekuja na huku Tukuyu
Nilitaka kumwambia hivo hivo huyu rafiki yangu Mnyakyusa, anazifahamu zile mbaula za miaka 90 zile 109 Landlover? Zilikua zinapanda ile milima ya UPOROTO na ile milima ya kwenda UKINGA kupitia ile njia ya Ushirika Tukuyu, ni noumer, halafu kamvua kawe kamenyesha nyesha hivi, jamaa wanapanda kwa reverse. Kweli siku hizi hatujui kuendesha magari bhanaView attachment 1778686
napendekeza hao wababe wa Jangwani wangekuja na huku Tukuyu
Land Cruiser anabaki kuwa king of the jungle tu. Hizo nyingine ukiingia nazo chaka ukirudi lazima upite kwa fundi afanye diagnosis