Nantahulila
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 2,076
- 1,741
Waisilamu buana!
Kwa hiyo Iran ndo supa pawa wa waislamu?
Kwa hiyo Iran ndo supa pawa wa waislamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uamsho mpo mpaka huku?israel itaangamizwa ikijaribu kurusha jiwe tehran
Inasadikika wewe ni kamanda wa iran hapa bongoisrael itaangamizwa ikijaribu kurusha jiwe tehran
Kwa hiyo nini kiliwafanya hao hizboolah wasiifute Israel?Mbona hamsemi Isareal ilivyo chapwa na hizzbullah 2006 mpka akalazimisha vita imalizike na waziri mkuu akalazimishwa kujiuzulu ni mara ya kwanza isreal ilichapwa na tank zake mackvera hazikutamba na meli za kibita hizbullah walizizamisha sasa unafikiri ISREAL NDIO MBABE KILA SIKU? Mbona misri alimpiga 1973 akabomowa Barlev line na amjaribu IRAN SIO YULE IRAN WA ZAMANI
Tatizo umekurupuka, mimi nimekupa sifa zako halafu unakuja ki '' ayatolla''Mbona wewe ni mke wa netanyahu mdogo?
Kama iran ana msuli mbona Mmarekani ameegesha meli za kivita jirani
Uamsho ur ass?
uamsho
na sababu ya kifo cha raisi wa misri Gamael Nasser ni ugonjwa wa moyo baada ya tukio hiliUnajifanya umesahau siku sita walivyotwangwa hao waarabu wako wote (about 10 nations) na Mwisraeli mpaka wakaomba msamaha?
Kilichosababisha watwangwe wakati ule ndicho kitakachowasababisha watwangwe tena muda si mwingi.
Naomba nkupe pole kwA Kung,an'gania eti Iran Ni waarabu..kwAWewe usie zwazwa iran ni mzungu ? Nchi zote zile za iran, iraq na saud nk zote ni waarabu. Umezoea kukurupukia mambo ? Angalia utapoteza ma.rinda boya wewe
Hao wanaitwa WAAJEMI. Na sio waarabu...Ukipata jibu unitag, maana nakuona unawashwa washwa.
Pole br.hata ISIS hujui inafadhiliwa na Nani?Iran mwarabu na mdini sana,anaua waïslamu wasïo thehebu łake,
Iran ndio wale watu wa ISIS
iran ni mzungu or?Pole br.hata ISIS hujui inafadhiliwa na Nani?
Iran sio waarabu br
Wewe punguza viroba hivi wengine bado mnavipata.Mbona hamsemi Isareal ilivyo chapwa na hizzbullah 2006 mpka akalazimisha vita imalizike na waziri mkuu akalazimishwa kujiuzulu ni mara ya kwanza isreal ilichapwa na tank zake mackvera hazikutamba na meli za kibita hizbullah walizizamisha sasa unafikiri ISREAL NDIO MBABE KILA SIKU? Mbona misri alimpiga 1973 akabomowa Barlev line na amjaribu IRAN SIO YULE IRAN WA ZAMANI
ISIS inafadhiliwa pesa na Qatar, saudia, France na USA walioianzisha!iran ni mzungu or?
na hao isis si korea, russia na iran ndio inawafadhili?