Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu wa Tanzania bwana kazi kweli kweli, neti mnazolalia ni za mmarekani, mkiumwa ukimwi dozi mnataka mpewe bure na huyo huyo mmarekani ambaye ni muisraeli tu kiasiliHawa watu ni hatari tupu
Hii video nimeikuta youtube "Makombora 100000 ndani ya dk 7 tu jee tel-aviv ina uwezo wa kujihami na haya makombora hatari yenye speed ya ajabu?
Video hiyo hapo
Hawa watu ni hatari tupu
Hii video nimeikuta youtube "Makombora 100000 ndani ya dk 7 tu jee tel-aviv ina uwezo wa kujihami na haya makombora hatari yenye speed ya ajabu?
Video hiyo hapo👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
Aliyekudanganya Mwirani Ni mwarabu Nani mkuu au ndo mahaba niue...Unajifanya umesahau siku sita walivyotwangwa hao waarabu wako wote (about 10 nations) na Mwisraeli mpaka wakaomba msamaha?
Kilichosababisha watwangwe wakati ule ndicho kitakachowasababisha watwangwe tena muda si mwingi.
Na hiki ndo wanachoshindiaga Vita waisrael hata kabla hawajaingia vitani, media zao zishawaharibu kabisa....Nguvu ya waisrael kwa sasa huwezi kuijua kirahisi ni wasiri mno utawajua tu ikitokea ukataka bifu nao. Anayethubutu ataumia sana. Wana akili kubwa achilia mbali elimu yao kubwa.
Hili wanalisahau saana kisa ni nchi ya kiislam wanajua wao ni waarabuAliyekudanganya Mwirani Ni mwarabu Nani mkuu au ndo mahaba niue...
Hongera mmarekani na myahudi wa bongoWaarabu wa Tanzania bwana kazi kweli kweli, neti mnazolalia ni za mmarekani, mkiumwa ukimwi dozi mnataka mpewe bure na huyo huyo mmarekani ambaye ni muisraeli tu kiasili
Cha muhim naona tusiwe wanafki kama tunamchukia mmarekani na muisrael tuhakikishe tunaacha kutumia na vitu vyao zikiwemo sim zao na program zao tumieni za wairan, na tukiumwa ngoma Arv tusikimbilie za bure twendeni tukanunue