Richard irakunda
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 3,660
- 4,383
tell us plzTethetehte ...
tell us plzTethetehte ...
Wewe usie zwazwa iran ni mzungu ? Nchi zote zile za iran, iraq na saud nk zote ni waarabu. Umezoea kukurupukia mambo ? Angalia utapoteza ma.rinda boya weweKuna watu humu ni mazwazwa kweli,hivi irani ni mwarabu kweli?
Taifa la MASHOGA tu hilo wazungu wamewadanganya mabongo lala hawa vichwa maembe eti ni taifa la mungu .Kama israel ni taifa la mungu mbona kuna oil chafu wa kutosha?
Wewe usie zwazwa iran ni mzungu ? Nchi zote zile za iran, iraq na saud nk zote ni waarabu. Umezoea kukurupukia mambo ? Angalia utapoteza ma.rinda boya wewe
Ukipata jibu unitag, maana nakuona unawashwa washwa.Wasiokuwa na ******* utawajua tu,wakuu naomba mnisaidie hivi irani ni mwarabu au ni mwajemi?
Kwa kweli nyakati zimebadilika kwa kasi sana mkuu.Iran ana silaha kali zaidi ya mmarekani na mrusi.Ni dakika moja tu Israel kwishney!Waajemi wako juu sana Allah anawapigania!Unaleta mambo ya mwaka wa 67 hapa? Karne zimebadilika jombaa
Konki master kaharibu kweli,yaani pamoja na kumiliki smartphone na maconfidence kama yote unakomaa kabisa kuwa iran ni mwarabu?ila nimekusamehe bureWewe usie zwazwa iran ni mzungu ? Nchi zote zile za iran, iraq na saud nk zote ni waarabu. Umezoea kukurupukia mambo ? Angalia utapoteza ma.rinda boya wewe
Mtaani mabasha wamekimbia nchi labda nenda mombasa wengine tushaoaUkipata jibu unitag, maana nakuona unawashwa washwa.
We jamaa una mihemko mibaya sana bongo ni kitu gani kwa israel? Umeambiwa ubalozi ni symbol ya khalalisha taifa? Israel wanatuzidi kila kitu mpaka kunya mkuuMBONA HUONGEI KUWA WAMELAANIWA NA NDIO MAANA MPAKA JUZI KULIKUA HAKUNA UBALOZI WAO BONGO, Hawana nchi wale mkuu
Ukitoka madrasa uje unifafanulie vizuri mkuuTaifa linaloongoza kwa sayansi na research pale mashariki ya kati ni Iran ,israel imeachwa mbali mno
Kufafanua nini mkuuUkitoka madrasa uje unifafanulie vizuri mkuu
Wewe jamaa wewe dah! Anyway taifa la mungu ni lipi? Labda tuanzie hapaTaifa la MASHOGA tu hilo wazungu wamewadanganya mabongo lala hawa vichwa maembe eti ni taifa la mungu .
Kuhusu Iran kuwa juu kiutafiti kuhusu IsraelKufafanua nini mkuu
We jamaa sizani hata kama ushawahi kufunua dibaji ya biblia maana unaandika usichokijua.Historia ipi ya israel inaonyesha walikua washindi? Wakati biblia inasema walikua watumwa tu
Waarabu wa Tanzania bwana kazi kweli kweli, neti mnazolalia ni za mmarekani, mkiumwa ukimwi dozi mnataka mpewe bure na huyo huyo mmarekani ambaye ni muisraeli tu kiasili
Cha muhim naona tusiwe wanafki kama tunamchukia mmarekani na muisrael tuhakikishe tunaacha kutumia na vitu vyao zikiwemo sim zao na program zao tumieni za wairan, na tukiumwa ngoma Arv tusikimbilie za bure twendeni tukanunue
Unajifanya umesahau siku sita walivyotwangwa hao waarabu wako wote (about 10 nations) na Mwisraeli mpaka wakaomba msamaha?
Kilichosababisha watwangwe wakati ule ndicho kitakachowasababisha watwangwe tena muda si mwingi.
Wairan na waarabu ni ethnicity mbili tafauti kabisa.wafursi sio waarabu na waarabu si wafursi na wanatafautiana kila kitu.Kumuita muiran kuwa ni mwarabu ni umbumbu.uncultured swines.Hao waisrael wale usipaliwe mate kuwasema, irani bado sana kumpiga maana waarabu wanavyomchukia wasingesita kumpiga kama wangekuwa na huo uwezo.
Unaposema 'mihemko' hayo ni maneno ya mashoga mkuu, ongea point na sio maneno ya kike. Na kama ni symbol naona hao mashoga wenzako wanatumia nguvu nyingi sana kuwekwa huo ubalozi, ww ulieko kwa mmatumbi unalegeza sauti eti Symbol tehtehtehWe jamaa una mihemko mibaya sana bongo ni kitu gani kwa israel? Umeambiwa ubalozi ni symbol ya khalalisha taifa? Israel wanatuzidi kila kitu mpaka kunya mkuu
Sisi waarabu wa Tanzania ni kweli ni aina za watanzania na tunanufaika na lolote inufaikalo tanzania na janga lolote liikutalo tanzania hutukuta kwani sisi ni raia wa tanzania ,Mkuu israel sio USA na asili ya marekani sio Israel usirudie huo utoto asili ya marekani ni waingereza waliohamia hapo na wahamiaji wengine wachache toka ulaya waisrael walianza kuja marekani miaka ya 1940 naaa baada ya mabalaa ya hitler kutokana na tabia yao ya kunyanyasa wa jerumani na umbea kwa majeshi pinzani ,so marekani huwa inawatumia kwa mchango wao mkubwa wa kiakili kwenye mateknologia ya kuharibu dunia kama manyukria ,so wanamkataba wa kuwalinda tu na kuendelea kutawala pande za mashariki yakati tu ,kwa hiyo ishu yetu na israel tuachie wenyewe we endelea kufurahia amani anayotujengea magufuli ,ya huko acha ,hata msimamo wa serikali ya Tanzania huwa wako pamoja na palestina ,unadhani wao ni wajinga wanaujua ukweliWaarabu wa Tanzania bwana kazi kweli kweli, neti mnazolalia ni za mmarekani, mkiumwa ukimwi dozi mnataka mpewe bure na huyo huyo mmarekani ambaye ni muisraeli tu kiasili
Cha muhim naona tusiwe wanafki kama tunamchukia mmarekani na muisrael tuhakikishe tunaacha kutumia na vitu vyao zikiwemo sim zao na program zao tumieni za wairan, na tukiumwa ngoma Arv tusikimbilie za bure twendeni tukanunue
BIBLIA YAKO INASEMA WALILAANIWA, SASA WW UNAPINGANA NAYOWe jamaa sizani hata kama ushawahi kufunua dibaji ya biblia maana unaandika usichokijua.
Wairan na waarabu ni ethnicity mbili tafauti kabisa.wafursi sio waarabu na waarabu si wafursi na wanatafautiana kila kitu.Kumuita muiran kuwa ni mwarabu ni umbumbu.uncultured swines.