VIDEO: UKAWA Wazuiliwa Kushiriki Cocktail Party; Ni Baada ya Kutimuliwa Bungeni

Hili ni tatizo jingine, Nilisema na ninatudia kusema kama Magufuli akiendeleza show za ajabu ajabu anazofanya badala ya kurudisha umoja wa kitaifa, hali itakuwa mbaya sana .


Kwanini mwaliko kama tayari wewe ni mbunge na kuna vithibitisho hivyo?
The party is suppose to involve MPs wote +/- watumishi wengine wa Bunge. Madai ya wabunge wa UKAWA ni very legitimate, hasa kipindi hiki ambacho bado kuna mgogoro Zanzibar, uwepo wa Dk. Shein bungeni ni kuleta vuguvugu jingine la kisiasa(tena pengine ambalo lilikuwa limesahaulika kutokana na akili "yetu" watanzania ya kusahau sahau). Maombi yalipelekwa na hayakujibiwa, Spika wa Bunge hakutoa muongozo wowote kuhusu hilo kabla ya tukio.(Tunajifunza nini hapa? Jinsi watu walivyo(mimi inclusive) walivyoona uonevu wa wazi wa wananchi, na ubabe wa Chama tawala wakati wa uchaguzi wakiona Uoinzani wanaonewa, ndivyo watazidi kuwatibua wananchi, pengine hata wale waliokuwa hawana upande wowote).

Endapo, utaweka utengano katika chombo cha kuiwajibisha Serikali, chombo cha kutunga sheria, n.k Unategemea nini?
Nilitegema "party" ya pamoja ni platform nzuri kusawazisha mambo hasa kukiwa hakuna camera/live broadcast zenye kuonyesha dunia(In house conflict Management)!
Sasa say hypothetically speaking(wabunge wa UKAWA walifanya mambo ya kitoto(as referred by Hon. President JPM), Spika(wa chama Tawala) hakujua kuhusu mialiko? Nani hasa mwenye kufanya utoto hapa? Ni vioja hivi Tanzania yenye kuvihitaji wakati huu?

Kutengwa au kutoalikwa kwa wachache hawa kuna madhara zaidi ya jambo lenyewe!
Bavicha umesahau hiyo party Shein na Magufuli walishiriki ambao hamu watambui? Hivi kwanini ubwabwa uwafanye wabunge wenu kupoteza kumbu kumbu?
 
UKAWA wanataka ubwabwa😅😅😅 Hawa wanywa viroba wana matatizo sana!

Mboweeeh yupo zake lodge amejikamatia hawara lake moja la viti maalum...hawa manyumbu wanaangaikia wali wa Bunge.
 
Sasa nimeamini mmachame hafai, magufuli kafanyakazi ya ziada kumjengea barabara ya lami tena kaisimamia mwenyewe, siku ya ufunguzi wa barabara mbowe alikuwa na furaha na tabasamu la bashasha, leo mbowe huyohuyo anamzomea magufuli yaani kasahau kabisa fadhila alizofanyiwa na ccm.

Mbatia naye washenzi walewale kamepewa ubunge wa kike na JK baada ya kutupiana matusi ya nguoni na Halima mdee leo hakohako ndo kwa kwanza kugonga meza na kurusha kebehi, nadhani magufuli keshajua watu anaotaka kufanya nao kazi wakoje, asijidanganye kama mwenzie dr.shain eti atawatumikia wote yatamtokea puani.
 
Bavicha umesahau hiyo party Shein na Magufuli walishiriki ambao hamu watambui? Hivi kwanini ubwabwa uwafanye wabunge wenu kupoteza kumbu kumbu?

Wewe uko hapa jamvini kitambo ila mambo yako nayo huwa ua kitoto sana.(Nategemea wewe kwa uwepo wako hapa muda mrefu kuwa mfano wa kuigwa, kutofuata mkumbo au ushabiki). Kila anayetofautiana na mtazamo wako(usio na upeo) ni BAVICHA?

Pili nimesema, kila MP(by his/her position/title automatically amealikwa, pengine hujui kama kuna data base ya Bunge ambayo wanaweza ku_verify credentials, sasa kama wanayo kwanini kuwa na second invitation? Mualiko unatolewa kwa wafanya kazi wabunge na si Wabunge wenyewe, tambua hilo.

Tatu, kama kuwepo kwa baadhi ya hao uliowasema ni ufafanuzi gani umetolewa na UKAWA kuhusu hilo?
 
unajua maana ya cocktail?
alafu ulichoandika mbona sio kinachoonekana kwenye video?
akili za Jecha hizo

SAFI SANA! HAPA KAZI TU....anayekwenda bungeni hakuna kushiriki hafla za usiku kama haujashiriki kikamilifu kwenye vikao... hao jamaa hata posho yao ya jana wasilipwe
 
Hili ni tatizo jingine, Nilisema na ninatudia kusema kama Magufuli akiendeleza show za ajabu ajabu anazofanya badala ya kurudisha umoja wa kitaifa, hali itakuwa mbaya sana .


Kwanini mwaliko kama tayari wewe ni mbunge na kuna vithibitisho hivyo?
The party is suppose to involve MPs wote +/- watumishi wengine wa Bunge. Madai ya wabunge wa UKAWA ni very legitimate, hasa kipindi hiki ambacho bado kuna mgogoro Zanzibar, uwepo wa Dk. Shein bungeni ni kuleta vuguvugu jingine la kisiasa(tena pengine ambalo lilikuwa limesahaulika kutokana na akili "yetu" watanzania ya kusahau sahau). Maombi yalipelekwa na hayakujibiwa, Spika wa Bunge hakutoa muongozo wowote kuhusu hilo kabla ya tukio.(Tunajifunza nini hapa? Jinsi watu walivyo(mimi inclusive) walivyoona uonevu wa wazi wa wananchi, na ubabe wa Chama tawala wakati wa uchaguzi wakiona Uoinzani wanaonewa, ndivyo watazidi kuwatibua wananchi, pengine hata wale waliokuwa hawana upande wowote).

Endapo, utaweka utengano katika chombo cha kuiwajibisha Serikali, chombo cha kutunga sheria, n.k Unategemea nini?
Nilitegema "party" ya pamoja ni platform nzuri kusawazisha mambo hasa kukiwa hakuna camera/live broadcast zenye kuonyesha dunia(In house conflict Management)!
Sasa say hypothetically speaking(wabunge wa UKAWA walifanya mambo ya kitoto(as referred by Hon. President JPM), Spika(wa chama Tawala) hakujua kuhusu mialiko? Nani hasa mwenye kufanya utoto hapa? Ni vioja hivi Tanzania yenye kuvihitaji wakati huu?

Kutengwa au kutoalikwa kwa wachache hawa kuna madhara zaidi ya jambo lenyewe!

Iweje ususe Bunge halafu uende kunywa bia za kikao cha Bunge ulichosusa? Shame on You.
 
Wewe uko hapa jamvini kitambo ila mambo yako nayo huwa ua kitoto sana.(Nategemea wewe kwa uwepo wako hapa muda mrefu kuwa mfano wa kuigwa, kutofuata mkumbo au ushabiki). Kila anayetofautiana na mtazamo wako(usio na upeo) ni BAVICHA?

Pili nimesema, kila MP(by his/her position/title automatically amealikwa, pengine hujui kama kuna data base ya Bunge ambayo wanaweza ku_verify credentials, sasa kama wanayo kwanini kuwa na second invitation? Mualiko unatolewa kwa wafanya kazi wabunge na si Wabunge wenyewe, tambua hilo.

Tatu, kama kuwepo kwa baadhi ya hao uliowasema ni ufafanuzi gani umetolewa na UKAWA kuhusu hilo?
Mijitu kama hiyo wakina.. ruttasholobwa
Huwa wa naitwa kubw jing tu
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa ni wahuni tu, na ndo maana kama wapo wapo tu na wala hawajitambui wanafanya nini. Wanatakiwa kukua sasa.
 
WanaJF,

Baada ya UKAWA kutimuliwa Bungeni kwa utovu wa nidhamu. Baadae walilazimisha kutaka kushiriki cocktail party ambayo imeandaliwa na Bunge.

Wabunge hao wa UKAWA walisusa kushiriki mkutano wa uzinduzi wa Bunge baada ya kuamua kufanya fujo Bungeni na kupelekea spika kuwatimu, cha ajabu watu hao hao walitaka kushiriki kwenye cocktail party ambayo mtu walie mkataa, Dr Shein nae alikuwepo na alitambuliwa kama rais wa Zanzibar.

Kitu ambacho UKAWA hawakukifahamu ni kuwa mwaliko waliopatiwa ulifutwa mara moja na spika Job Ndungai mara tu baada ya kuahirisha mkutano wa uzinduzi wa Bunge.

Jionee aibu waliyoipata Wabunge wa UKAWA ya kulazimisha kula ilhali hawataki kufanya kazi.



.....nchi ingekuwa na walemavu wa akili 6 kama wewe hakika mungu angekuwa ameisha igharikisha
 
Last edited by a moderator:
Kweli wakati mwengine tunatakiwa tuifikirie Mara mbili mbili kauli ya TWAWEZA pale waliposema CCM inaumgwa mkono sana na watu ambao hawana elimu a.k.a WAJINGA.

VIDEO INAONYESHA WABUNGE WA UKAWA WANAGOMBANA NA POLISI NJE YA BUNGE BAADA YA KUTOKA NJE NA POLISI KUWATAKA UKAWA WAONDOKE PALE NDIPO UKAWA WAKAJIBU SISI NI WABUNGE NA TUPO KATIKA VIWANJA VYA BUNGE KISHERIA LAKINI PIA TUNAZO KADI ZA MUALIKO WA CHAKULA.

Sasa hapa hiyo COCTAIL ya mtoa mada imetoka wapi!!??? AU ALIWATEGEA MATAKO SASA WAKAWA WANAYAGOMBANIA!!?? Kukosa elimu sio sifa bali aibu.
 
Bungeni walikuwa wanapinga uhalali wa shein kuwa ndani ya bunge... unadhani shein akifa hawatamzika? Unadhani wakikutana nae njiani hawatasalimiana? Acha kubwabwaja mtoa mada....
 
Sasa nimeamini mmachame hafai, magufuli kafanyakazi ya ziada kumjengea barabara ya lami tena kaisimamia mwenyewe, siku ya ufunguzi wa barabara mbowe alikuwa na furaha na tabasamu la bashasha, leo mbowe huyohuyo anamzomea magufuli yaani kasahau kabisa fadhila alizofanyiwa na ccm.

Mbatia naye washenzi walewale kamepewa ubunge wa kike na JK baada ya kutupiana matusi ya nguoni na Halima mdee leo hakohako ndo kwa kwanza kugonga meza na kurusha kebehi, nadhani magufuli keshajua watu anaotaka kufanya nao kazi wakoje, asijidanganye kama mwenzie dr.shain eti atawatumikia wote yatamtokea puani.

kumbu serikali iliopo madarakani inapo peleka Huduma za kijamii kwenye majimbo ya vyama vya upinzani ni fadhila
 
Back
Top Bottom