Video:Ubunifu wa Gari linalotumia Battery uliofanywa na wanafunzi cha chuo kikuu, nawapongeza Vijana

Evans-Arsenal

JF-Expert Member
Jan 10, 2016
868
1,385

Project zinazofanywa Vyuoni haswa kwa kada za Uhandisi (Engineering) kufanywa na wanachuo ni kuongeza uwezo wa kubuni vitu mbalimbali ambavyo vitasaidia Taifa kwa ujumla na kuongeza kasi ya Ukuaji wa Sayansi na Teknologia (Science and Technology) .
Ubunifu kawa huu wa Magari na vitu kadhaa unafaa kuigwa na wanachuo wengi sio kukopi (Copy na Paste) projects zilizofanywa na watu wengine huko nyuma.

Niwapongeze wanafunzi hawa wa Diploma toka chuo cha mtakatifu Joseph kwa ubunifu huu mkishirikiana ipasavyo na wanafunzi toka vyuo vingine.
Big up sana vijana.
 
sasa hapo kuna ubunifu kweli..wameweka mota na tairi...sasa hapo kuna ubunifu gani?
 

Project zinazofanywa Vyuoni haswa kwa kada za Uhandisi (Engineering) kufanywa na wanachuo ni kuongeza uwezo wa kubuni vitu mbalimbali ambavyo vitasaidia Taifa kwa ujumla na kuongeza kasi ya Ukuaji wa Sayansi na Teknologia (Science and Technology) .
Ubunifu kawa huu wa Magari na vitu kadhaa unafaa kuigwa na wanachuo wengi sio kukopi (Copy na Paste) projects zilizofanywa na watu wengine huko nyuma.

Niwapongeze wanafunzi hawa wa Diploma toka chuo cha mtakatifu Joseph kwa ubunifu huu mkishirikiana ipasavyo na wanafunzi toka vyuo vingine.
Big up sana vijana.



Nipo tayari kusahihishwa "HAPA MIMI SIONI UBUNIFU" Ukiunda matari na motor inayozunguka, this is OBVIOUS! Kwangu mimi huu siuuti ubunifu
 
Back
Top Bottom