luginyo
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,385
- 632
Ahaaa kumbeeee huyu bwana ndio wa hivyooo anyway ngoja niende bondeni kwa madibaa Tanzania sio mama yanguuuww km sio wa kanda yao,andika maumivu imekula kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa kumbeeee huyu bwana ndio wa hivyooo anyway ngoja niende bondeni kwa madibaa Tanzania sio mama yanguuuww km sio wa kanda yao,andika maumivu imekula kwako.
Naheshimu maoni yako, ila hainiondolei ukweli kua Lisu si mzalendo kama wengi wanavyomsifia na kumpamba tena anayetaka inchi yangu itengwe hapana kwakweli amenitoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naheshimu maoni yako, ila hainiondolei ukweli kua Lisu si mzalendo kama wengi wanavyomsifia na kumpamba tena anayetaka inchi yangu itengwe hapana kwakweli amenitoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vuvuzela huyu tumemzoea. Hata kwenye makinikia alisema tutanyolewa bila wembe na wenye makinikia badala yake wakapanda ndege kuja kuomba tuongee!! Sasa anatafuta kick nyingine kama anataka tususiwe na mataifa si angewafuata hukohuko hao mabwana zake??
Umeelewa sana. Tupeni mwongozo ukali uwaje. Je mtu asiyesita kumwajibisha mtu, atendaye hali kwa wote , mnyenyekevu, aombaye hekima na busara kwenye uongozi, asiyejikweza, mwenye kuonea huruma wanyonge, mcha Mungu , mwenye kusamehe na mstahilimivu. Tutampata wapi. Lakini tunaoamini Mungu aweza aliyepo akiutafuta USO wa Mungu ni yeye. Tunahitaji kutubu mbele za Mungu kuwa sote tumekosa tuanzane upya.Mwandiko hausomeki vizuri
Viongozi wa upinzani hawajawajibika ipasavyo.Shida wa Tz Tuna Piga Sana Kelele Katika Mitandao Ila Linapo Kuja Swala La Kupinga Kitu Kwa Maandamano Hakuna Hata Mmoja Wa Kusubutu
Ona huyu naye, hebu pita hivi! kwahiyo hii ndo demokrasia ambayo mnaitaka au? Wote tuwaze kama uwazavyo wewe si ndio? Mtu akitoa maoni tofauti na utakavyo anakua siyo kama ndivyo hivyo bora kumbe ccm iendelee maana sioni tofauti kati ya chama kinachojitahanabisha cha demokrasia na ccm.Unayo habari pia kuwa Tanzania tunashundwa kusonga mbele kwa kuwa na raia wenye akili kama zako pamoja na mambo mengine
Sawa ndugu yangu msomi.....Nenda shule kasome utamweelewa
Ona huyu naye, hebu pita hivi! kwahiyo hii ndo demokrasia ambayo mnaitaka au? Wote tuwaze kama uwazavyo wewe si ndio? Mtu akitoa maoni tofauti na utakavyo anakua siyo kama ndivyo hivyo bora kumbe ccm iendelee maana sioni tofauti kati ya chama kinachojitahanabisha cha demokrasia na ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
TL anasema mtu wetu anaelekea huko na ana malengo ya kufika huko ila bado hajafika huko.CHADEMA wasipokuwa makini wataishiwa kususiwa wao na Watanzania.
Tanzania haijafikia kabisa viwango vya kususiwa na jumuia ya kimataifa.
Sasa huyu so called 'msomi' ndo anataka nchi isusiwe?
Kwa minajili gani hasa?
Mtu yupo Tanzania na ana uhuru wa kumzungumzia hivyo rais aliyepo madarakani halafu anataka nchi isusiwe?
Hata hiyo jumuia ya kimataifa ikimsikia itamcheka kwa dharau nyingi sana.
Huyu jamaa mdomo wake hauna breki!
He is a demagogue on steroids!
Ongezea na Dada yake Lisu (Marehemu kwa sasa (RIP)).Sidhani kama watawaelewa ikiwa na wao wana macho na wanaona namna CHADEMA inavyopata uongozi, Mbowe, Lucy Awenya, Grace Kihwelu, Anna Kubenea, Rose Kamili, Joyce Minja, Amina Lissu na Joyce Mukya