Kafanya kosa gani hadi akamatwe?Hapa mnajitapa kamvaa raisi lakini akikamatwa Ninyi ni wa kwanza kusema anaonewa
Anachoongea ni ukweli tena ukweli mtupu.kabla ya kusema ni vuvuzela jaribu kutuambia kipi alichokisema kuwa si cha kweli.escrow,makinikia,wapinzani wakisema mkawaita mavuvuzela hivyo hivyo lkn Leo ndio mmeona essue ya kuwapaisha,ccm hamna Sera.kazi yenu kutuibia tu watanzaniaVuvuzela huyu tumemzoea. Hata kwenye makinikia alisema tutanyolewa bila wembe na wenye makinikia badala yake wakapanda ndege kuja kuomba tuongee!! Sasa anatafuta kick nyingine kama anataka tususiwe na mataifa si angewafuata hukohuko hao mabwana zake??
Mbunge wa Singida Mashariki amefanya mkutano na waandishi wa habari akimtuhumu Magufuli kwa mambo mengi na kutaka asusiwe kila mahali.
Amesema mataifa ya nje yanayompa hela Magufuli yamsusie Magufuli na kutompa pesa za kuikandamiza Tanzania. Kujenga uwanja wa ndege Chato ni kama Mobutu Seseseko alivyojenga kijijini kwao.
Amesema Mwinyi na wengine wanaotaka Magufuli aongoze miaka zaidi ya 10 wanataka Magufuli awe kama rafiki zake Nkurunziza, Kagame na Joseph Kabila na kuita huo ni ujinga. Wanaoshangilia Bombardier hawajui zimenunuliwaje na Magufuli anaendesha nchi kwa misingi ya kikabila na Kifamilia, akimtolea mfano Dotto James Katibu Mkuu wizara ya fedha na Naibu wake ni watoto wa dada alikuwa afisa ngazi za chini wa TANROADS miaka 2 iliyopita na wanaambiana mjomba tununue ndege, tujenge uwanja wa ndege nyumbani na hela zinatoka.
Mmoja wa wanasheria wa wizara mmoja Medad Kalemani na Naibu Waziri nishati na madini hakufukuzwa kwenye skendo ya madini iliyomuondoa Muhongo. Kuingilia uhuru wa mahakama. Anawaambia majaji kwenye mikutano ya hadhara namna ya kutoa hukumu.
Sasa ni mwezi wa 8 mahakama ya Tanzania haina Jaji mkuu ina Kaimu jaji mkuu na hii haijawahi kutokea Magufuli anajiona yeye ndio dola kwenye karne ya 21. Majaji wa mahakama kuu 4 kujiuzulu ndani ya miezi 3 haijawahi kutokea na sababu wala maelezo hayatolewi japo kuna baadhi yao walihusika na Escrow ila haijatolewa sababu
Kama majaji wanalazimishwa kujiuzulu bila maelezo nani yupo salama?
Vyombo vya habari vinavamiwa kwa bunduki na hakuna hatua inayochukuliwa
Tunaposema udikteta ndio huu. Kazi ya kupinga udikteta sio ya CHADEMA tu, ni vyombo vya habari, wafanyakazi wa serikali viongozi wa dini. Kutumia vibaya fedha na rasilimali za taifa.
Huo nimtazamo wako,kwani hata ss tunakuona ww ni pandikizi la mafisiem, ukweli utadhihiri na uongo hujitengaVuvuzela huyu tumemzoea. Hata kwenye makinikia alisema tutanyolewa bila wembe na wenye makinikia badala yake wakapanda ndege kuja kuomba tuongee!! Sasa anatafuta kick nyingine kama anataka tususiwe na mataifa si angewafuata hukohuko hao mabwana zake??
Mimi ni kati ya watu wanamchukia magu na sina haja ya kushawishiwa kwa kuwa nauelewa na ninajitambua,wewe kilaza ndio unapagawishwa na maigizo ya ccm.Sasa huyu mzee wa Singida kachanganyikiwa. Yaani ameshindwa kuwashawishi waTZ wamchukie rais wao sasa anataka wananchi wa mataifa mengine wamsusie!
Post sent using JamiiForums mobile app
Hayo maongezi yamesaidia nini taifa? Hakuna hata sent moja ilio lipwa na manikia yanasafirishwa, kwa sheria mpya ya manikia cacia wamesema wataongeza asilimia 6 kutoka 4 inamaana Tanzania I napata asilimia 6 kama msaada wakati ni rasilimali zetu? Ukweli usemwe achani ulimumba na maneno ya hovyoVuvuzela huyu tumemzoea. Hata kwenye makinikia alisema tutanyolewa bila wembe na wenye makinikia badala yake wakapanda ndege kuja kuomba tuongee!! Sasa anatafuta kick nyingine kama anataka tususiwe na mataifa si angewafuata hukohuko hao mabwana zake??
Hutaelewa mpaka pale utakapo taka kuelewa, na kufanyia kazi hoja zake..Wakati mwingine huwa nashindwa kumuelewa Tundu Lissu mantiki za hoja zake.....lakini naheshimu maoni yake kama ambavyo katiba inamruhusu......
Mimi upinzani wa kipumbavu namna hii ulishanitoka rohoni kabisa, eti tususiwe harafu hawahawa wanajiita wazalendo yaani upinzani wakinafiki kabisa.Lisu mm nina wasiwasi na cheti chako.
1. Nchi hii sio ya magufuli
2. Nchi ikikosa msaada hatoteseka magufuli
3. Ukienda kuwambia wakifungia wewe na nyanya zako 2 utakuwa wapi?
4. Hiyo democracy tangu miaka hiyo mpk leo imetufanyia nini?
5.ushawai panda juu ya meza ukajisukuma alafu ukaona kama unaenda mbele au vipi?
Kadri siku zinavyoenda unanifanya niziki kuchukia upinzani koko
Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
kwani kuna progress (maendeleo) gani kwenye makanikia? are you sure kwamba michanga haisafirishwi? weka link inayoonyesha ACACIA wamekubali/wameanza kulipaVuvuzela huyu tumemzoea. Hata kwenye makinikia alisema tutanyolewa bila wembe na wenye makinikia badala yake wakapanda ndege kuja kuomba tuongee!! Sasa anatafuta kick nyingine kama anataka tususiwe na mataifa si angewafuata hukohuko hao mabwana zake??
Hao pengine ni wanufaika wakuu, kwa hiyo wameamua Kuwa vipofu.wamejaa huku JF kibao, but lazima kila mtu apinge utawala wa kidicteta.Nyerere &Co wangekuwa kama wewe hadi Leo mkoloni angekuwepo...acha woga kwa kitu unachokiamini..wote tutakufa
Waafrika tulitawaliwa na wazungu kwa sababu ya ujinga wetu, sasa mumekuwa huru wa kufikiri na kutoa maoni yenye thamani, mnatoa za hovyo kabisaMimi upinzani wa kipumbavu namna hii ulishanitoka rohoni kabisa, eti tususiwe harafu hawahawa wanajiita wazalendo yaani upinzani wakinafiki kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi elewa mantiki ya lissu kwa kuwa ili uweze kumwelewa lissu lazima use na uelewa mpana Wa kutambua na kuchanganua mambo makubwa.kama wewe ni kilaza huwezi muelewa zaidi ya kumshabikia maguWakati mwingine huwa nashindwa kumuelewa Tundu Lissu mantiki za hoja zake.....lakini naheshimu maoni yake kama ambavyo katiba inamruhusu......
Mtasusiwa nyie na maigizo yenu,ukanda,ukabila,ufamilia ndio uliotawala sasa.si umemsikia lissu,tuambie kipi cha uongo alichoongea hapo.CHADEMA wasipokuwa makini wataishiwa kususiwa wao na Watanzania.
Tanzania haijafikia kabisa viwango vya kususiwa na jumuia ya kimataifa.
Sasa huyu so called 'msomi' ndo anataka nchi isusiwe?
Kwa minajili gani hasa?
Mtu yupo Tanzania na ana uhuru wa kumzungumzia hivyo rais aliyepo madarakani halafu anataka nchi isusiwe?
Hata hiyo jumuia ya kimataifa ikimsikia itamcheka kwa dharau nyingi sana.
Huyu jamaa mdomo wake hauna breki!
He is a demagogue on steroids!