Video: Tundu Lissu aliwahi kunena haya kuhusu mfumo wa kodi

Lisu ni vuvuzela ukitoa maoni kwa majereo yake moja kwa moja yanapoteza sifa maana yeye huongea chochote na kubadilika muda wowote hivyo kutumia Kama rejea ni kuharibu unachomaanisha.
 
Lisu ni debe tupu! Kwanza anafanya nini kwa amsterdam mpaka sasa hivi?
Debe tupu ni wewe mnufaika wa utawala haramu uliopita mliotaka kumuua na baada ya uchaguzi mkuu haramu mkataba kumbambikia kesi zingine kibao kwa njia haramu za kishetani kama siyo wewe mda huu Lisu asingekuwa huko ubelgiji
 
Lisu ni vuvuzela ukitoa maoni kwa majereo yake moja kwa moja yanapoteza sifa maana yeye huongea chochote na kubadilika muda wowote hivyo kutumia Kama rejea ni kuharibu unachomaanisha.
Hii ina uhusiano gani na mapungufu ya TRA?
 
Lisu hana jipya, aendelee kuwatumikia hao mabwana.
Aliwaambia ukweli mkatukana weeee kuwa anatetea wakwepa kodi . Hya sasa Rais kawaumbua hamjui msifie au mpinge.

Hahahhaha I'm really enjoying these moments
 
Angelikuwa amezisoma sheria na kuzielewa (maana unaweza, soma na usielewe vilevile) angeziona hizo rights za mlipa kodi.

Kwenye kichwa chake sheria lazima iseme hizi ndio haki za mlipa kodi.

Ukishaamini mtu anajua kila kitu na wewe ukawa mvivu kujifunza inakuwa rahisi sana kukuongopea, siku nyingine muulize hiyo taxpayers bill of right ndio zikoje?

For starters you do know TRA estimation ni optional sio lazima kama unaweza kujipigia mwenyewe hesabu (wasipo zikubali ndio wanaweza kuja kuhakikisha na tax dispute zinaamuliwa na mahakama).

Umeshawahi kusikia Bakhresa, Mo Dewji na biashara zingine kubwa zimekadiriwa kodi. Mtu anaongea story ukisikiliza unaona ni uongo mtupu.
 
Back
Top Bottom