Kumbe Tundu Lisu Mwanasheria nilikuwa sijui maana sioni tofauti kati Yake na Mimi nisiyekuwa mwanataaluma hiyo Katika kuongea kwako.Mh. Tundu Lissu akimwaga cheche zake kwenye mjadala wa katiba mpya na uchaguzi wa Majaji wa mahakama kuu Tanzania kwenye mkutano wa wanasheria uliofanyika jana Tarehe 31/08/12 katika ukumbi wa mikutano AICC (Simba Hall) mbele ya Jaji Warioba, Jaji Mihayo, Jaji Makaramba.. mkutano huo wa siku mbili unamalizika leo mchana na unahusisha wanasheria na mawakili wote Tanzania..Hotuba yake nzima ntaiweka hvi punde!!
[video=youtube_share;gVKt8aDXdaw]http://youtu.be/gVKt8aDXdaw[/video]