Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,073
- 6,251
Sawa tumekuona na tunzo
Sioni mahusiano na mada husika.Si Robert Amsterdam na wenzake ndio wandaaji? Au hujui hilo?
Ooh!Sioni mahusiano na mada husika.
Wewe sio mzalendo, Unachambua siasa vizuriTunzo muhimu sana , hongera zake.
P
Unaposema 'Wajinga' unamaanisha wanaopokea misaada kutoka kwao?Wazungu wanajua kucheza na akili za wajinga!
Wahenga walisema, ''wajinga ndio waliwao''.
Hapo ulipo una TIN number? Au unabwabwaja tu humu.Hizi ndio degree za St Augustine na Mzumbe
Yule mwezako wa vyuo vya kata ameshindwa kusoma kiapo lakini tungesema asifie angeimba na kujigaraza chini
Ahaaa dunia ina mambo mengi sana
Huwezi kufikiri nje ya aliyokudanganya mwalimu wako
Unachojua wewe ni kupiga taarabu na mapambio
Mimi ni mwana ccm lakini sikubaliani na watu mnaojitoa ufahamu
Hamuwezi kujenga hoja kazi ni kusifu na kusifia huku hamjui mtakula kitu gani kesho
CCM hatuna 'Wendawazimu' na 'Mashoga' kama Wewe tafadhali. Ukiona hadi GENTAMYCINE naipenda CCM jua hata Mwenyezi Mungu anakipenda.Hizi ndio degree za St Augustine na Mzumbe
Yule mwezako wa vyuo vya kata ameshindwa kusoma kiapo lakini tungesema asifie angeimba na kujigaraza chini
Ahaaa dunia ina mambo mengi sana
Huwezi kufikiri nje ya aliyokudanganya mwalimu wako
Unachojua wewe ni kupiga taarabu na mapambio
Mimi ni mwana ccm lakini sikubaliani na watu mnaojitoa ufahamu
Hamuwezi kujenga hoja kazi ni kusifu na kusifia huku hamjui mtakula kitu gani kesho
Kwani madini hayaendi ? Pimbi mzigo unaenda Kama kawaida we endelea kusifu na kuabudu .Hao wote ni mabeberu nani asiyejua,wanatafuta pakutokea baada ya kufeli kutuibia madini yetu.😂😂😂