Hhhhh kweli Mungu wako amekubariki sio kwa akili hizo halafu hapo eti una mke na watoto wanakutegemea like seriously!?Wewe 'Bumunda' hebu achana na Mimi tafadhali sawa? Si nimeshakuambia kuwa nina Mke sasa kwanini bado 'unalazimisha' tu Mimi niwe Mumeo?