Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,325
- 4,089
Alipanda mahindi akacheka na nyani, sasa anavuna mabua!Kwani Kabendera alipanda nini na anavuna nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alipanda mahindi akacheka na nyani, sasa anavuna mabua!Kwani Kabendera alipanda nini na anavuna nini?
wakati wake bado pamoja na kuifungia line yakeHuyu jamaa tukiacha unafiki alimtukana sana Magufuli, mbaya alikuwa anatumia gazeti na maadui zetu wazungu... Tena aombe sana Mungu bado yupo hai, anajua Jamal Khashogy alicho fanyiwa baada ya kuichafua nchi yake na kukimbilia Marekani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ugaidi ni nini?Najiuliza mpaka leo kwa nini mabeberu hawamuwekei Jiwe vikwazo kwa huu ugaidi anaowafanyia raia wake
wa kusujudiwa ni Mola pekee na sio kiumbe kilichozaliwa na mwanamke nacho ufaRugemalira ndio hataki kabisa kutoka jela, anadai gerezani kumemfanya akili yake imetulia na kupata muda mzuri wa kusoma vitabu.
kama tusipowasamehe wanaotuudhi nae Baba wa mbinguni atotusamehee makossa yetu nasi twasali bureJamaa kagoma kumsamehe...hata waliomchongea wanasaidia kumwombea msamaha ila ngoma bado mbichi.
Wao kila Jpili wanaomba msamaha, ila kuwasamehe wenzao hilo suala halipo.
jela hospital ulemavu havina mwenyewe kila mja ni mtarajiwa sawa na kuni mbichi kuicheka kavu
Kamsaidie basi kwenye hiyo operationUnashindwa kumlea mama nababa ako kwenu huko ,wamechakaa kegete zinawamaliza ,unakuja kuleta upumbavu wako kuhusu mwanaume wakweli...namfananisha LA Rambo au damme wakiwa ktk operation ngumu....kabendera yuko ktk operesheni ngumu yaukombozi wa wa Tanganyika
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwahiyo unaona sawa kwa anachotendewa?mnataka ukweli usisemweKutoka kwenye hekalu Mbweni mpaka kwenye Cell Segerea.Na Magu alimpania hatoki humo. Kila Magu akitaka kumsamehe anakumbuka "John Magufuli is bulldozing the opposition and wrecking the economy "
The dinosaur of Dodoma.
Mwanakuyatafuta mwanayakumkutajela hospital ulemavu havina mwenyewe kila mja ni mtarajiwa sawa na kuni mbichi kuicheka kavu
Sijui Pascal Mayalla akimuona hivyo anajisikiaje...
Btw, karma is bitch...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tuambieni Kosa la pascal ni lipi? Kuleta habari za magazeti ya nje hapa jukwaan?Labda alishalipwa ujira wake,anakula wine tu huko mtaani.
dodge
Mwanakuyatafuta mwanayakumkuta
Mchuma janga hula na wakwao
Ukitumwa jiongeze
Za mbayuwayu changanya na zako
[/UNAWEZACHUMISHWA JANGA PIA
Mwanakuyatafuta mwanayakumkuta
Mchuma janga hula na wakwao
Ukitumwa jiongeze
Za mbayuwayu changanya na zako
SIO KILA MWENYE JANGA KACHUMAMwanakuyatafuta mwanayakumkuta
Mchuma janga hula na wakwao
Ukitumwa jiongeze
Za mbayuwayu changanya na zako
La huyu kachumaSIO KILA MWENYE JANGA KACHUMA
Sio sawa,hata kama naona hivyo nothing i can do.Yeye ndo aliesababisha maana hakuchanga vizuri karata zake,hayo malipo alitakiwa yalipwe kupitia account nyingine kabisa ambayo yeye asingehusishwa moja kwa moja.Au wangekuwa wanamlipa mkono kwa mkono hapo hakuna ushahidi.Mkuu kwahiyo unaona sawa kwa anachotendewa?mnataka ukweli usisemwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kachakaa! Nini wewe? Ulitaka anyowe kiduku na 'O' cut za urembo akiwa mahabusu? Ngonja akomae!Jaman daaah Tuacheni utani , huyu jamaa amechakaa sana anatia huruma. Basi tu
Video sekunde 16
View attachment 1321554
Msalimie bwana wako anayebambikia watu kesi uchwara za utakatishaji fedha.Nenda uongee na watoto wenzako boya ww, naona belehe inakusumbua
Duh!Woga wake tu, mbona watu kibao wanaenda gerezani na wako poa tu. Hata kalasinga Seth saa huu kashazoea itakuwa huyo Kabendera? Hapo sana sana anamfurahisha aliyeagiza awekwe ndani. Yeye ni mwanaume asiwe slack.
ajifunze kwa Lissu, Lema, Sugu, Sioi, Kitilya, Sinare n.kWoga wake tu, mbona watu kibao wanaenda gerezani na wako poa tu. Hata kalasinga Seth saa huu kashazoea itakuwa huyo Kabendera? Hapo sana sana anamfurahisha aliyeagiza awekwe ndani. Yeye ni mwanaume asiwe slack.
Hakuna al iyechukua pesa za escrow kwa kificho, pesa zote ni halali na waliochukua walilipwa pesa halaliSio sawa,hata kama naona hivyo nothing i can do.Yeye ndo aliesababisha maana hakuchanga vizuri karata zake,hayo malipo alitakiwa yalipwe kupitia account nyingine kabisa ambayo yeye asingehusishwa moja kwa moja.Au wangekuwa wanamlipa mkono kwa mkono hapo hakuna ushahidi.
Naamini umenielewa.
Unafikiri wale waliochukua pesa za Escrow kwenye Lumbesa ni wajinga?Walikwepa mambo kama haya.