nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Awamu ya tano imeshuhudia watawala wenye dharau na roho mbaya kupita kiasi, huku wakiamini ukatili wao, majibu ya kejeli majidai ndiyo yanawafanya WAOENEKANE STRONG MEN NA wachapa kazi
kwa mfano kuna mmoja ambaye mama yake alikua muuza vitumbua maarufu leo kapata ukuu wa mkoa kichwa kimemvimba anatanua mabega ametunaaa, mdomo wake unatoa cheche za chuki na majivuno HADI HIVI KARIBUNI AKAFIKIA HATUA YA KUMPIGA MKWARA RAIS MSTAAFU JK baada ya ile kauli ya kujimwambafai.
Kwa VIFUTU VINAVYOJIMWAFAI angalieni hii eulogy ya Obama kwenye mazishi ya Elijah Cummings labda mtaelewa na hii ni kama mnajua kiingereza maana wengi wenu hata vyeti na majina siyo yenu.
kwa mfano kuna mmoja ambaye mama yake alikua muuza vitumbua maarufu leo kapata ukuu wa mkoa kichwa kimemvimba anatanua mabega ametunaaa, mdomo wake unatoa cheche za chuki na majivuno HADI HIVI KARIBUNI AKAFIKIA HATUA YA KUMPIGA MKWARA RAIS MSTAAFU JK baada ya ile kauli ya kujimwambafai.
Kwa VIFUTU VINAVYOJIMWAFAI angalieni hii eulogy ya Obama kwenye mazishi ya Elijah Cummings labda mtaelewa na hii ni kama mnajua kiingereza maana wengi wenu hata vyeti na majina siyo yenu.