Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Mkuu wa nchi anatoa matamko kupitia Nepi, tuliya puuza baadae tunaona mwenyekiti wake anayarudia...nikakumbua aliwahi kusema sauti ya Nape ni sauti yangu( Kikwete)...
Huyu ni wa kumpuuza mkiendelea kumjibu inaonyesha nyie mnacheza ngoma za Nepi anazo piga.