UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Ndio maana nasema nchii upinzani ni chadema tu maana hivyo vyama vyengine vyote vinatuhumiwa kutumika na serikali na vyengine kuwa vimeanzishwa na ccm kabisa,hao viongozi wa hivyo vyama wote wanaonekana wanafki hutumika ccm.Keshawauza ukawa bungeni sana! Nikisema nitoe hapa itakua noma! Nina ushahid kama wote yaani enzi za Magufuli