magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
Wanajamvi
Salaam
Naamini bila kuwa na chembe yoyote ya shaka,huyu mchungaji anahitilafu kwenye ubongo. Ukifuatilia jinsi anavyoropoka utagundua kabisa huyu dishi limeyumba.
Lkn pamoja na hitilafu zake kwenye ubongo,hili la sasa limezidi. Maoni yangu Kwa serikali ingemchukulia hatua huyu mchungaji kwa haya maneno yake.
Mchungaji km huyu yupo kwenye msako wa kupata waumini ili aweze kukusanya sadaka,maneno km haya anayosema anaweza kutumia hiyo nafasi kwa kufanya umafia wa kutumia wahuni kuwapa sumu wafanyakazi wa clouds ili aonekane anayosema yanatoka kwa Mungu.
Kwa hivyo,ni vizuri kuchukua tahadhari..huu ujinga wa kutuambia sisi eti ameambiwa na Mungu bila sisi kuona inabidi ukomeshwe kabisa!.
Ni maoni yangu lkn na si lazima kila akubaliane na mimi.
Nawasilisha!View attachment KATIBU_WA_WAMBEA on Instagram_ _Weka comment yako(MP4).mp4
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam
Naamini bila kuwa na chembe yoyote ya shaka,huyu mchungaji anahitilafu kwenye ubongo. Ukifuatilia jinsi anavyoropoka utagundua kabisa huyu dishi limeyumba.
Lkn pamoja na hitilafu zake kwenye ubongo,hili la sasa limezidi. Maoni yangu Kwa serikali ingemchukulia hatua huyu mchungaji kwa haya maneno yake.
Mchungaji km huyu yupo kwenye msako wa kupata waumini ili aweze kukusanya sadaka,maneno km haya anayosema anaweza kutumia hiyo nafasi kwa kufanya umafia wa kutumia wahuni kuwapa sumu wafanyakazi wa clouds ili aonekane anayosema yanatoka kwa Mungu.
Kwa hivyo,ni vizuri kuchukua tahadhari..huu ujinga wa kutuambia sisi eti ameambiwa na Mungu bila sisi kuona inabidi ukomeshwe kabisa!.
Ni maoni yangu lkn na si lazima kila akubaliane na mimi.
Nawasilisha!View attachment KATIBU_WA_WAMBEA on Instagram_ _Weka comment yako(MP4).mp4
Sent using Jamii Forums mobile app