Video: Sasa nazidi kuielewa kauli ya Rais “endeleeni kufyatua kwa kasi”, kama bado unaamini misaada toka kwa wazungu ni kwa sababu ya upendo

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Sep 4, 2013
36,058
40,721
Kama kuna mtu bado anaamini sera na misaada ya wazungu juu ya waafrika ni kwa sababu wanatupenda sana basi angalia hii video.

Huyu mzungu alikuwa ni mtu wa ndani kabisa katika serikali ya kibeberu na anasema wazi kwamba misaada waliyotoa kuanzia mwaka 1990 hadi 2000 kwa Afrika ilikuwa ni karibu trillion 30 kwa ajili tu ya kupromote utoaji mimba na uzazi wa mpango ili kuhakikisha idadi ya watu haikuwi na ikiwezakana ishuke ili Afrika isipate uwezo wa kutumia rasilimali zao kwa sababu wao mabeberu wanazitaka hizo rasilimali.

Pia wanapunguza idadi ya watu kwa kuyaacha magonjwa kama Malaria bila chanjo ili iendelee kuua na kupinguza idadi ya waAfrika, sio kwamba hakuna chanjo ya malaria, ila hawawezi kuiruhusu sababu italeta ugumu wa kupunguza watu weusi. Ingekuwa malaria inaua wazungu kama Corona sidhani kama pangekuwa hamna chanjo hadi leo.

Pia wanapenyeza magonjwa mapya kama Ebola, HIV ili kuendelea kupunguza watu weusi, lakini hasahasa ni kutoa misaada ya kutoa mimba na uzazi wa mpango, kila siku unasikia matangazo kwa msaada wa watu wa Marekani redioni eti mara ooh, mimba ni pushup 1000, kwahiyo pumzikeni walau miaka miwili kabla ya kubeba ujauzito, wao wanaupendo gani sana kwetu hadi kugharamia haya matangazo!

Mara ooh tumia njia salama za uzazi wa mpango, hatushtuko tu??!
Msikilize mwenyewe mwanzo hadi mwisho.
Video nimeweka part 1 na 2.
Pia soma: Wa-Afrika weusi ni 15% tu ya idadi ya watu duniani, ni ushenzi kusema tuna overpopulation! - JamiiForums

 
Pia anasema hili bara ni kubwa sana na lina rasilimali za kutosha kutunza hata watu mara 1000 zaidi lakini lengo la kulazimisha nadharia ya 'overpopulation' ni kuounguza kasi ya kuongezeka idadi ya watu
 
Mimi nipo sawa na mabeberu. Lazima kuwe na uzazi wa mpango la sivyo next great extinction will be of our own.

Unaambiwa kuwa population inadouble kila baada ya miaka 20. Hivi sasa ipo almost 8billion. Na prediction by 2040 tutakuwa 16billio. Then by 2060 tutakuwa 32billion.

Dunia haiwezi kuaccomodate 30billion. Tutakufa. Kumbuka population inapoongezeka tunachukua nafasi ya ardhi ya kuzalisha chakula. Miji inakuwa mashamba yanapungua. Tunaanza kuzalisha kisasa kutumia chemical ambazo ni mbaya kiafya. Watu watakufa ovyo kwa kansa. Watu kuishi miaka hata 60 itakuwa night mare kama tunavyosikia kuwa kunawatu waliishi miaka 500.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe kwa akili yako unapangiwa. Wakileta msaada wa mpango wa uzazi si unakataaa kwani na wewe umekuwa zuzu. Halafu kuna watu wa ajabu hasa waafrika nikiwemo mimi, ukishindwa kitu lazima usingizie mtu au kitu. Kaa chino jipange fanya utafiti rekebisha mapungufu songa mbele au anza upya. Sasa wewe kila siku tukishindwa mabeberu wanaume wazima. Kuna siku mtashindwa kufanya na wake zenu mtasingizia mabeberu yaani hakuna akili nyingine kwani. Mnanikera sana na wenyewe wameshajua hamwezi kujisimamia. Watawasimamia
 
Ukipita Mtaani ukaona watoto wanavyozurula na kulala mitaroni, wasukuma wakati wa njaa wanakimbia familia vyao familia za kiswahili kulala jikoni huku baba akifariki watoto ni vita ya kugombea vichumba vya urithi.

Unashangaa Kwanini WAAFRIKA wanapenda sana NGONO na KUFYATUANA halafu wanaanza kulialia kutafuta MISAADA.

Vijitu vingine vimetelekeza mpaka watoto lakini ni bingwa wa kushabikia KUZAANA KAMA NZIGE, halafu watoto wanaishia kuwa PANYA ROAD NA WAKABAJI TU.
 
Tushawaambia sana humu ,ila binadamu wabishi sana.
Kuhusu AIDS , tumewaambia ni fekelo tu , hizo dawa ARV wanazopewa ndiyo zinawamaliza ,watu ohoo! mbona wananenepa ?! haya sasa kazi kwenu.
Acheni kuongea vitu vya kipumbavu. Watu wanaishi miaka mpaka 20 na kuendelea wakitumia ARVs wewe unasema zinawamaliza. Unakumbuka kabla ya ARVS watu walikuwa wanakufa within months after infection.

Hivi mkoje nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unazaa watoto wa mpango halafu hao mabeberu unao wasapoti wanakuletea corona new version inawafyeka chap na inakuwa rahisi kwao kupitisha ajenda Zaokwasbb popn ni ndogo
Hizi ni akili za kipumbavu sana. Hii racism mnayojengewa na Rais wenu itawacost. Kwahyo wenyewe hawana corona au uzazi wa mpango?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni akili za kipumbavu sana. Hii racism mnayojengewa na Rais wenu itawacost. Kwahyo wenyewe hawana corona au uzazi wa mpango?

Sent using Jamii Forums mobile app
hujakatazwa kuwa na uzazi wa mpango dunia hii inamiaka maelfu kama sio mamilioni kwasababu hakuna mwenye uhakika wa lini ilianza watu walizaliwa walikua walizaliana walikufa wakazaliwa wengine hata leo hii kuna kining'ing'ina kinajiita heradius ulisha wahi sikia dunia imeshindwa Ku accommodate watu waishio duniani? Acha kukaririshwa
 
Mimi nipo sawa na mabeberu. Lazima kuwe na uzazi wa mpango la sivyo next great extinction will be of our own.

Unaambiwa kuwa population inadouble kila baada ya miaka 20. Hivi sasa ipo almost 8billion. Na prediction by 2040 tutakuwa 16billio. Then by 2060 tutakuwa 32billion.

Dunia haiwezi kuaccomodate 30billion. Tutakufa. Kumbuka population inapoongezeka tunachukua nafasi ya ardhi ya kuzalisha chakula. Miji inakuwa mashamba yanapungua. Tunaanza kuzalisha kisasa kutumia chemical ambazo ni mbaya kiafya. Watu watakufa ovyo kwa kansa. Watu kuishi miaka hata 60 itakuwa night mare kama tunavyosikia kuwa kunawatu waliishi miaka 500.


Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo lao na concern yao sio hiyo, lengo ni hili hapa, resources ndio wanazotaka, tukiwa wengi tutapata uwezo wa kuzitumia na wao wanazihitaji, kwani huelewi lugha inayotumika tutkutafsirie?
 
Back
Top Bottom